Vifaa vya Ujenzi na Matofali kwa Bei nafuu

Vifaa vya Ujenzi na Matofali kwa Bei nafuu

Hun

Senior Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
110
Reaction score
106
Karibuni JEWS CONSTRUCTION inapatikana Kerege na Bunju.

Tuna supply vifaa vya ujenzi.

Tume establish kiwanda cha matofali kilichopo Kerege na Bunju.

Tunatoa tofali zenye ubora wa hali ya juu, kwa mfuko mmoja wa 42.5R tunatoa tofali 28 hadi 30 za inchi 6 na bei ni 1200 kwa kila tofali moja mpaka site, na kwa inchi 5 tunatoa tofali 35 tu na bei ni 1150 mpaka site. Ukitaka nyingi tunaongea bei inashuka.

Tunasupply popote Tanzania. Nje ya Dar es Salaam tunapeleka mashine mpaka huko na kazi inafanyiwa site.

Karibuni sana.

Kwa mawasiliano piga simu 0653 121 230
 
Back
Top Bottom