Viettel, Telecommication Company ni utapeli mwingine kama ESCROW

SCOOBY DOO

Member
Dec 16, 2013
76
69
Wana jamvi, kwa muda mrefu mmemsikia Naibu wa Wizara ya Mawasiliano Mhe Makamba akiipigia debe sana kampuni hii mpya ya mawasiliano iliyotoka Vietnam,

leo ndo nimepata taarifa vizuri kuhusu hii kampuni kuwa ni kampuni ya kitapeli na kwa ushahidi naomba uingie kwenye website yao ambayo ni Home website yao inanesha kuwa "Sorry we closed all BUSINESS" lakini pia mwanajamvi naomba ufuatilia namna wanavyoingia mkataba na wananchi wanapochukua viwanja, taratibu zao zote zimejaa utapeli.

Mhe David Kafulila naomba ufuatilie na hili ni hakika ni bomu lingine kubwa ambalo litamuondoa Makamba.

Nawasilisha
Sorry we closed all business.
 
Wana jamvi, kwa muda mrefu mmemsikia Naibu wa Wizara ya Mawasiliano Mhe Makamba akiipigia debe sana kampuni hii mpya ya mawasiliano iliyotoka Vietnam, leo ndo nimepata taarifa vizuri kuhusu hii kampuni kuwa ni kampuni ya kitapeli na kwa ushahidi naomba uingie kwenye website yao ambayo ni Home website yao inanesha kuwa "Sorry we closed all BUSINESS" lakini pia mwanajamvi naomba ufuatilia namna wanavyoingia mkataba na wananchi wanapochukua viwanja, taratibu zao zote zimejaa utapeli.

Mhe David Kafulila naomba ufuatilie na hili ni hakika ni bomu lingine kubwa ambalo litamuondoa Makamba.

Nawasilisha
Sorry we closed all business.

Plse tembelea office zao zilizopo 2nd floor, jengo la GEPF BLDNG Victoria, Dar. kw ufafanuzi mzuri au maelezo kuliko kulalama hapa jamvuni....,
Muhimu kujiridhisha kw taarifa kabla ya kutoa lawama or shutuma!
 
Wana jamvi, kwa muda mrefu mmemsikia Naibu wa Wizara ya Mawasiliano Mhe Makamba akiipigia debe sana kampuni hii mpya ya mawasiliano iliyotoka Vietnam, leo ndo nimepata taarifa vizuri kuhusu hii kampuni kuwa ni kampuni ya kitapeli na kwa ushahidi naomba uingie kwenye website yao ambayo ni Home website yao inanesha kuwa "Sorry we closed all BUSINESS" lakini pia mwanajamvi naomba ufuatilia namna wanavyoingia mkataba na wananchi wanapochukua viwanja, taratibu zao zote zimejaa utapeli.

Mhe David Kafulila naomba ufuatilie na hili ni hakika ni bomu lingine kubwa ambalo litamuondoa Makamba.

Nawasilisha
Sorry we closed all business.

Sijui kuhusu kinachoendelea TZ na hiyo kampuni, ila ukikwama ni vizuri ukauliza kuliko kuropoka.

Trang chủ | Viettel Telecom Portal

It is a very big Telco company. Bigger than Airtel and Tigo Combined, in the same league as Vodafone which is Vodacom Tanzania parent company of Vodafone SA.

It's last year Revenues(about $7B) were as much as TZ budget.

I repeat, This is not a small company, whatever they do or how they do it in TZ, is a reflection of our messed up systems.
 
yale yale! business as usual! watapewa leseni, miaka 4 na nusu bila kulipa kodi na kisha kubadili jina wakidanganya kuwa biarhara hailipi! upo?
 
utapeli wa kwanza ni huu mishahara yao haina kiwango cha elimu yani ukifuzu uww degree diploma au certificate mshahara mmoja halaf midogosana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom