VIDEO: Ya Polepole Yalianza kujulikana polepole kitambo

VIDEO: Ya Polepole Yalianza kujulikana polepole kitambo

YAY

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2024
Posts
820
Reaction score
768
Rais Samia ama kwa hakika amepitia na anapitia mitihani Mingi na mugumu tangu kuapishwa kwake March 17 Mwaka 2021.

Jambo pekee linalowafunga midomo maadui zake wa nje na ndani ama kwa kutaka au kwa kulazimiahwa na Umma ni utendaji kazi wake wa kiwango cha kushangaza wengi.

Ndio maana Kila anayemsema vibaya Rais Samia mbele ya Umma anashambuliwa kutoka katika kila pande ya Dunia.

Bila record hizi Rais Samia hakika maadui zake wangeshafanikiwa hata Kabla Mungu hajamteua kuwa Rais wa JMT,

Haya maneno mazito aliyasema aliyewahi kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM miaka hiyo Ndg Shaka Hamdu Shaka.

Utabiri huu unatokea miaka minne baadae wakati ambapo Shaka Hamdu Shaka sio kiongozi tena wa chama lakini maneno yake yatutafakarishe namna Rais wetu anavyozongwa zongwa na watu wanaotaka kulipasua Taifa hili la Mungu.

Hongera sana Shaka Hamdu Shaka hii ndio dhana ya kuwa kiongozi Bora Kwani kiongozi bora ni yule anayeweza kuiona kesho Kwa mbali na kutoa kalipio na tahadhari Kwa anaowaongoza na asio waongoza

 

Attachments

  • RAIS SAMIA UMELETA MAGEUZI MAKUBWA TANZANIA _SHAKA HAMDU SHAKA__20250721_065523.mp4
    3.6 MB
kosa kubwa la kiufundi kwa Rais Samia ilikuwa kumwondoa huyu jamaa kwenye chama, Kwenye uongozi ukiona Museven anawateua mtoto na mama yake ni katika kuimarisha ushawishi wa kidola-JASUSI
 
kosa kubwa la kiufundi kwa Rais Samia ilikuwa kumwondoa huyu jamaa kwenye chama, Kwenye uongozi ukiona Museven anawateua mtoto na mama yake ni katika kuimarisha ushawishi wa kidola-JASUSI
Hapana ni mpangilio wa kazi ila pia hakatazwi kumrudisha Kwa mujibu wa katiba ya chama Cha Mapinduzi
 
View attachment 3412778

Rais Samia ama kwa hakika amepitia na anapitia mitihani Mingi na mugumu tangu kuapishwa kwake March 17 Mwaka 2021.

Jambo pekee linalowafunga midomo maadui zake wa nje na ndani ama kwa kutaka au kwa kulazimiahwa na Umma ni utendaji kazi wake wa kiwango cha kushangaza wengi.
View attachment 3412779
Ndio maana Kila anayemsema vibaya Rais Samia mbele ya Umma anashambuliwa kutoka katika kila pande ya Dunia.

Bila record hizi Rais Samia hakika maadui zake wangeshafanikiwa hata Kabla Mungu hajamteua kuwa Rais wa JMT,

Haya maneno mazito aliyasema aliyewahi kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM miaka hiyo Ndg Shaka Hamdu Shaka.

Utabiri huu unatokea miaka minne baadae wakati ambapo Shaka Hamdu Shaka sio kiongozi tena wa chama lakini maneno yake yatutafakarishe namna Rais wetu anavyozongwa zongwa na watu wanaotaka kulipasua Taifa hili la Mungu.

Hongera sana Shaka Hamdu Shaka hii ndio dhana ya kuwa kiongozi Bora Kwani kiongozi bora ni yule anayeweza kuiona kesho Kwa mbali na kutoa kalipio na tahadhari Kwa anaowaongoza na asio waongoza
Ni kweli ana zongwa au anajizonga.naongea kwa huzuni, MAbilioni ya HELA yaliyo chukuliwa half WATU wakisubiri tamko la kiongozi AKADAI SIO wazalendo bro Hilo Lina ingia akilini KWELI tanganyika HII AMBAYO kujifungua unalipia kama huna ukajifungulie nyumbani. JAMAA alie fiwa na mkewe KISA ambulance imegoma kumchukua Hana LAKI na NUSU ya mafuta. Maiti inazuiwa kutolewa hospitalini kaka ANGU huna hata mshipa WA aibu. HIZO HELA SI zinge wekwa huko kumpa ahueni mtanganyika.



Bro Alex on da beats
 
View attachment 3412778

Rais Samia ama kwa hakika amepitia na anapitia mitihani Mingi na mugumu tangu kuapishwa kwake March 17 Mwaka 2021.

Jambo pekee linalowafunga midomo maadui zake wa nje na ndani ama kwa kutaka au kwa kulazimiahwa na Umma ni utendaji kazi wake wa kiwango cha kushangaza wengi.
View attachment 3412779
Ndio maana Kila anayemsema vibaya Rais Samia mbele ya Umma anashambuliwa kutoka katika kila pande ya Dunia.

Bila record hizi Rais Samia hakika maadui zake wangeshafanikiwa hata Kabla Mungu hajamteua kuwa Rais wa JMT,

Haya maneno mazito aliyasema aliyewahi kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM miaka hiyo Ndg Shaka Hamdu Shaka.

Utabiri huu unatokea miaka minne baadae wakati ambapo Shaka Hamdu Shaka sio kiongozi tena wa chama lakini maneno yake yatutafakarishe namna Rais wetu anavyozongwa zongwa na watu wanaotaka kulipasua Taifa hili la Mungu.

Hongera sana Shaka Hamdu Shaka hii ndio dhana ya kuwa kiongozi Bora Kwani kiongozi bora ni yule anayeweza kuiona kesho Kwa mbali na kutoa kalipio na tahadhari Kwa anaowaongoza na asio waongoza

Kosa kubwa slilofanya Maza ni kuwasambaza Wazanzibar kwenye serikali kila kona ya nchi.
 
sio kweli hata kidogo

Ok. Ila kwa taarifa tu Maza kazungukwa mno na anatumia sana Wazanzibar katika uongozi wake.

Hivi waliogungua kesi ya Lissu na Chadema ni akina nani? WAZANZIBAR

Jaji na mawakili wa serikali kwenye kesi za Chadema ni akina nani?WAZANZIBAR.

Hata aliyesaini ile barua ya juzi ya kuahirisha Mkutano akimruka Makalla pia ni Mzanzibar.
 
Ok. Ila kwa taarifa tu Maza kazungukwa mno na anatumia sana Wazanzibar katika uongozi wake.

Hivi waliogungua kesi ya Lissu na Chadema ni akina nani? WAZANZIBAR

Jaji na mawakili wa serikali kwenye kesi za Chadema ni akina nani?WAZANZIBAR.

Hata aliyesaini ile barua ya juzi ya kuahirisha Mkutano akimruka Makalla pia ni Mzanzibar.
Hapa hatuna hao watu ila Watanzania
 
Ok. Ila kwa taarifa tu Maza kazungukwa mno na anatumia sana Wazanzibar katika uongozi wake.

Hivi waliogungua kesi ya Lissu na Chadema ni akina nani? WAZANZIBAR

Jaji na mawakili wa serikali kwenye kesi za Chadema ni akina nani?WAZANZIBAR.

Hata aliyesaini ile barua ya juzi ya kuahirisha Mkutano akimruka Makalla pia ni Mzanzibar.
DUUUH
 
View attachment 3412778

Rais Samia ama kwa hakika amepitia na anapitia mitihani Mingi na mugumu tangu kuapishwa kwake March 17 Mwaka 2021.

Jambo pekee linalowafunga midomo maadui zake wa nje na ndani ama kwa kutaka au kwa kulazimiahwa na Umma ni utendaji kazi wake wa kiwango cha kushangaza wengi.
View attachment 3412779
Ndio maana Kila anayemsema vibaya Rais Samia mbele ya Umma anashambuliwa kutoka katika kila pande ya Dunia.

Bila record hizi Rais Samia hakika maadui zake wangeshafanikiwa hata Kabla Mungu hajamteua kuwa Rais wa JMT,

Haya maneno mazito aliyasema aliyewahi kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM miaka hiyo Ndg Shaka Hamdu Shaka.

Utabiri huu unatokea miaka minne baadae wakati ambapo Shaka Hamdu Shaka sio kiongozi tena wa chama lakini maneno yake yatutafakarishe namna Rais wetu anavyozongwa zongwa na watu wanaotaka kulipasua Taifa hili la Mungu.

Hongera sana Shaka Hamdu Shaka hii ndio dhana ya kuwa kiongozi Bora Kwani kiongozi bora ni yule anayeweza kuiona kesho Kwa mbali na kutoa kalipio na tahadhari Kwa anaowaongoza na asio waongoza


Kama ni muhula wa Kwanza wa awamu ya sita basi haijatimia miaka 5.

Lakini huyo Rais wa awamu ya sita alipatokanaje ndani ya michakato ya CCM .?

Katiba iliyirumika kumweka Samia Madarakani sio katiba ya CCM bali ni
katiba ya nchi ndio maana hakuwahi kuchukua fomu na kupitia michuano ndani ya Chama .
Kwa hiyo ni wazi kuwa Samia hakuwahi kushindanishwa ndani ya Chama katika muhula wa kwanza wa kiti cha urais .

Mchakato wa ndani ya chama katika muhula wa kwanza wa mgombea urais unakua na ushindani mkubwa ili apatikane mtu mmoja wa kupeperusha bendera ya ccm.

Kama Samia angekua amepitia ushindani katika Mchakato wa ndani wa Chama basi leo angekua na uhalali wa kupewa fomu moja .

Tuache kuvuruga nchi kwa Tamaa ya Mtu mmoja au wa wili . Ni wazi kuwa Samia amejawa na tamaa kubwa ya kukalia kiti cha urais wa Tanganyika kwa sababu ya mali . Tanganika pesa zipo nje nje kwa mafisadi ni michingi tu na hakuna wa kumuuliza labda Mungu peke yake . Ni wazi kuwa hata nchi zilioendelea zimeendelea baada ya kutawaliwa na Wanaume wazalendo walioko tayari kupiganiia haki na rasilimali za nchi zao sío kupiga vijembe na siasa siasa huruma na bahati. Hakuna ushujaa wa bahati . Shajaa anapambana sio anapambaniwa.

Iko hivi:
Mwaka 2015 JPM alipatikana kama mgombea wa CCM bàda ya kushindanishwa na akina Mwigulu ,Makamba , Membe, Asharose ,Lowassa n.k.
JPM akapita na kupeperusha bendera ya Chama.
Mchakato ulihusisha wagombea wengi ndani ya Chama na walichukua fomu kama taratibu za chama zinavyoelekeza kwa wagombea wa mara ya kwanza kila baada ya miaka 10.

Ilipofika mwaka 2020 JPM hakupata washindani ndani ya chama na fomu ilitolewa moja japo taratibu zilifuatwa kama kawaida.

Je, Machawa na mafunza wanajua ni kwa nini busara ilitumika kuweka utamaduni wa kumpitisha au kushauri chama kitioe Fomu moja kwa Rais aliyepita muhula wa kwanza anapoingia muhula wa Pili?

Ikumbukwe kuwa Mgombea urais ndani ya CCM anapopitia mchujo anakua amepita kwenye vizingiti vingi na kujadikiwa kwa kina saa kwa kuangakia historia yake na utendaji wake hasa suala zima la Rushwa ,udini,ukabila,
maadili ya uingozi , upatikanaji wa mali zake kulingana na utumishi wake nk. katika mchujo huo ni wazi kuwa anayepita kwenye hicho kinyanganyiro anakuwa na nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi mkuu. Hayo yakifanyika kwa kina wananchi wanakua wamejiandaa kisaikolojia kuwa RAIS AMESHAPATIKANA ANASUBIRU KUAPISHWA TU.
Rais aliyepitia mchakato halali ndani ya chama cha mapinduzi anapoingia madarakani mara nyingi anawateua kwenyenafasi za uwaziri wale alioshindana nao kwa karibu ili kujenga umoja na kuwaandaa zaidi katika uongozi .
Busara ikatumika kwamba kama katiba ya nchi inampa nafasi ya kugombea muhula wa pili basi ndani ya chama hakuna haja ya kushindana na watu wale wale aliowashinda ndani ya Chama ili nguvu kubwa ielekezwe kwa Wagombea wa vyama vingine.
Hii lojiki ilikua ni nzuri kwa sababu mfano Mwaka 2020 chama kiliona kuwa kama 2015 wale waliopigwa chini na chama ni wale wale hakuna mgeni kuna haja gani ya kuchukua tena fomu kugombea na JPM wakatimuhula wa pili utaishia 2025 na kuanza mchakato mpya kwa watu kuchukua fomu za urais .

Lakini pia Busara isipotumika kwa CCM kumpitisha Samia kwenye mchujo wa kugombea pamoja na watu wengine hii itakua ni hatari sana huko mbeleni. Inaweza ikatokea serikali ikapigwa photo Kopi na likaibuka genge la wahuni wanaomcpigavita Rais kwa mfano na wakawa wanamsapoti makamu wa Rais na kutaka ashika urais. Wanaweza wakatumia fursa hiyo kumrestisha ,na Makamu wake akashika nchi kwa kwa ujasiri kabisa akijua kuwa atapita bila kupingwa kawnye uchaguzi ndani ya chama.
Busara ya wakati huo ililenga zaidi usalama wa chama na usalama wa nchi kwa ujumla lakni kwa sasa ni usalama wa mtu na kundi wake
Hapa hatuna hao watu ila Watanzania
 
Kama ni muhula wa Kwanza wa awamu ya sita basi haijatimia miaka 5.

Lakini huyo Rais wa awamu ya sita alipatokanaje ndani ya michakato ya CCM .?

Katiba iliyirumika kumweka Samia Madarakani sio katiba ya CCM bali ni
katiba ya nchi ndio maana hakuwahi kuchukua fomu na kupitia michuano ndani ya Chama .
Kwa hiyo ni wazi kuwa Samia hakuwahi kushindanishwa ndani ya Chama katika muhula wa kwanza wa kiti cha urais .

Mchakato wa ndani ya chama katika muhula wa kwanza wa mgombea urais unakua na ushindani mkubwa ili apatikane mtu mmoja wa kupeperusha bendera ya ccm.

Kama Samia angekua amepitia ushindani katika Mchakato wa ndani wa Chama basi leo angekua na uhalali wa kupewa fomu moja .

Tuache kuvuruga nchi kwa Tamaa ya Mtu mmoja au wa wili . Ni wazi kuwa Samia amejawa na tamaa kubwa ya kukalia kiti cha urais wa Tanganyika kwa sababu ya mali . Tanganika pesa zipo nje nje kwa mafisadi ni michingi tu na hakuna wa kumuuliza labda Mungu peke yake . Ni wazi kuwa hata nchi zilioendelea zimeendelea baada ya kutawaliwa na Wanaume wazalendo walioko tayari kupiganiia haki na rasilimali za nchi zao sío kupiga vijembe na siasa siasa huruma na bahati. Hakuna ushujaa wa bahati . Shajaa anapambana sio anapambaniwa.

Iko hivi:
Mwaka 2015 JPM alipatikana kama mgombea wa CCM bàda ya kushindanishwa na akina Mwigulu ,Makamba , Membe, Asharose ,Lowassa n.k.
JPM akapita na kupeperusha bendera ya Chama.
Mchakato ulihusisha wagombea wengi ndani ya Chama na walichukua fomu kama taratibu za chama zinavyoelekeza kwa wagombea wa mara ya kwanza kila baada ya miaka 10.

Ilipofika mwaka 2020 JPM hakupata washindani ndani ya chama na fomu ilitolewa moja japo taratibu zilifuatwa kama kawaida.

Je, Machawa na mafunza wanajua ni kwa nini busara ilitumika kuweka utamaduni wa kumpitisha au kushauri chama kitioe Fomu moja kwa Rais aliyepita muhula wa kwanza anapoingia muhula wa Pili?

Ikumbukwe kuwa Mgombea urais ndani ya CCM anapopitia mchujo anakua amepita kwenye vizingiti vingi na kujadikiwa kwa kina saa kwa kuangakia historia yake na utendaji wake hasa suala zima la Rushwa ,udini,ukabila,
maadili ya uingozi , upatikanaji wa mali zake kulingana na utumishi wake nk. katika mchujo huo ni wazi kuwa anayepita kwenye hicho kinyanganyiro anakuwa na nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi mkuu. Hayo yakifanyika kwa kina wananchi wanakua wamejiandaa kisaikolojia kuwa RAIS AMESHAPATIKANA ANASUBIRU KUAPISHWA TU.
Rais aliyepitia mchakato halali ndani ya chama cha mapinduzi anapoingia madarakani mara nyingi anawateua kwenyenafasi za uwaziri wale alioshindana nao kwa karibu ili kujenga umoja na kuwaandaa zaidi katika uongozi .
Busara ikatumika kwamba kama katiba ya nchi inampa nafasi ya kugombea muhula wa pili basi ndani ya chama hakuna haja ya kushindana na watu wale wale aliowashinda ndani ya Chama ili nguvu kubwa ielekezwe kwa Wagombea wa vyama vingine.
Hii lojiki ilikua ni nzuri kwa sababu mfano Mwaka 2020 chama kiliona kuwa kama 2015 wale waliopigwa chini na chama ni wale wale hakuna mgeni kuna haja gani ya kuchukua tena fomu kugombea na JPM wakatimuhula wa pili utaishia 2025 na kuanza mchakato mpya kwa watu kuchukua fomu za urais .

Lakini pia Busara isipotumika kwa CCM kumpitisha Samia kwenye mchujo wa kugombea pamoja na watu wengine hii itakua ni hatari sana huko mbeleni. Inaweza ikatokea serikali ikapigwa photo Kopi na likaibuka genge la wahuni wanaomcpigavita Rais kwa mfano na wakawa wanamsapoti makamu wa Rais na kutaka ashika urais. Wanaweza wakatumia fursa hiyo kumrestisha ,na Makamu wake akashika nchi kwa kwa ujasiri kabisa akijua kuwa atapita bila kupingwa kawnye uchaguzi ndani ya chama.
Busara ya wakati huo ililenga zaidi usalama wa chama na usalama wa nchi kwa ujumla lakni kwa sasa ni usalama wa mtu na kundi wake
wewe ni Polepole?
 
kosa kubwa la kiufundi kwa Rais Samia ilikuwa kumwondoa huyu jamaa kwenye chama, Kwenye uongozi ukiona Museven anawateua mtoto na mama yake ni katika kuimarisha ushawishi wa kidola-JASUSI
ni kweli
 
Rais Samia ama kwa hakika amepitia na anapitia mitihani Mingi na mugumu tangu kuapishwa kwake March 17 Mwaka 2021.

Jambo pekee linalowafunga midomo maadui zake wa nje na ndani ama kwa kutaka au kwa kulazimiahwa na Umma ni utendaji kazi wake wa kiwango cha kushangaza wengi.
View attachment 3412779
Ndio maana Kila anayemsema vibaya Rais Samia mbele ya Umma anashambuliwa kutoka katika kila pande ya Dunia.

Bila record hizi Rais Samia hakika maadui zake wangeshafanikiwa hata Kabla Mungu hajamteua kuwa Rais wa JMT,

Haya maneno mazito aliyasema aliyewahi kuwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM miaka hiyo Ndg Shaka Hamdu Shaka.

Utabiri huu unatokea miaka minne baadae wakati ambapo Shaka Hamdu Shaka sio kiongozi tena wa chama lakini maneno yake yatutafakarishe namna Rais wetu anavyozongwa zongwa na watu wanaotaka kulipasua Taifa hili la Mungu.

Hongera sana Shaka Hamdu Shaka hii ndio dhana ya kuwa kiongozi Bora Kwani kiongozi bora ni yule anayeweza kuiona kesho Kwa mbali na kutoa kalipio na tahadhari Kwa anaowaongoza na asio waongoza

Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameweka kipaumbele kikubwa kwenye maendeleo ya watoto, akitambua kuwa ndilo taifa la kesho. Kupitia uongozi wake, serikali imewekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta za afya, elimu na ulinzi wa mtoto. Amehakikisha kuwa kila mtoto anapata haki ya kusoma bure kuanzia elimu ya msingi hadi sekondari, huku akiimarisha miundombinu ya shule, kuongeza madarasa, kujenga mabweni na kusambaza vifaa vya kujifunzia. Katika afya, ameongeza bajeti ya dawa, kujenga hospitali na vituo vya afya karibu na wananchi, hatua iliyosaidia watoto kupata chanjo, tiba sahihi na lishe bora kwa wakati.


Aidha, Mama Samia amekuwa sauti ya watoto wasio na uwezo, akisisitiza ulinzi dhidi ya ukatili, ndoa za utotoni na ajira za watoto. Kupitia programu za kitaifa za malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto (ECCD), amesaidia kuhakikisha watoto wanalelewa katika mazingira salama na yenye staha. Kwa hatua hizi, Mama Samia siyo tu Rais, bali pia Mama wa Taifa anayejali mustakabali wa watoto wa Tanzania, akijenga msingi imara wa kizazi kinachokuja kuwa na afya, elimu na matumaini ya maisha bora.
 
Back
Top Bottom