The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,442
- 10,233
Rais Donald Trump wa Marekani akiwa pamoja na Wataalamu wa Afya kuzungumzia hali ilivyo kuhusu janga la Corona nchini mwao na namna gani wataweza kushinda.
Huyo Nurse anayezungumza anaitwa Sophia L. Thomas ( President of the American Association of Nurse Practitioners)
Hoja: Umegundua nini kupitia hii video katika kupambana na janga la Corona?
👇👇👇👇👇
Huyo Nurse anayezungumza anaitwa Sophia L. Thomas ( President of the American Association of Nurse Practitioners)
Hoja: Umegundua nini kupitia hii video katika kupambana na janga la Corona?
👇👇👇👇👇