Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Mwigulu anatafuta faida ya kisiasa dhidi ya CHADEMA, kupitia tindikali aliyomwagiwa Tesha ilihali kuna ushahidi wa wazi wa ushiriki wa wanaCCM katika tukio la tindikali?
Kama polisi kweli wanatafuta mtu aliyemmwagia tindikali tesha basi wamtafute huyu kijana wampeleke mahakamani akatoe ushahidi.
Kwanini CCM na polisi wao wanahangaika kuzunguka msitu badala ya kuuvamia?
Kama Lwakatare walimkamata kutokana na video ya kwenye mtandao, kwanini huyu hawamkamati ili akatoe ushahidi kuhusu tindikali ya Igunga?
video kwa msaada wa ApexBnews: VIDEO: HUYU ANAWEZA KUISAIDIA CHADEMA KESI IGUNGA INAYO WAKABILI HENRY KILEO NA WENZAKE
Kama polisi kweli wanatafuta mtu aliyemmwagia tindikali tesha basi wamtafute huyu kijana wampeleke mahakamani akatoe ushahidi.
Kwanini CCM na polisi wao wanahangaika kuzunguka msitu badala ya kuuvamia?
Kama Lwakatare walimkamata kutokana na video ya kwenye mtandao, kwanini huyu hawamkamati ili akatoe ushahidi kuhusu tindikali ya Igunga?
video kwa msaada wa ApexBnews: VIDEO: HUYU ANAWEZA KUISAIDIA CHADEMA KESI IGUNGA INAYO WAKABILI HENRY KILEO NA WENZAKE
Last edited by a moderator: