Video: Ndugu wa Humphrey Polepole wakimwombea ndugu yao

Video: Ndugu wa Humphrey Polepole wakimwombea ndugu yao

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Ndugu wa aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Malawi na Cuba 'aliyetekwa' takribani miezi mitatu iliyopita leo, Jumanne Januari 06.20226 wamefanya maombi kwenye nyumba aliyokuwa akiishi mpendwa wao wakimuomba Mwenyezi Mungu amlinde mpendwa wao huko aliko na arejeshwe akiwa salama salmini

Ndugu hao wakiongozwa na mama mzazi wa Humphrey Polepole, Mama Anna Marry Polepole na mdogo wake Godfrey Polepole wamefika nyumbani hapo Tanzanite Street, Ununio -Bahari Beach, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam kwaajili ya kuhamisha vitu vya Humphrey Polepole.

Pia Soma: Video: Ndugu wa Humphrey Polepole wafika kwenye nyumba 'aliyotekwa' kuhamisha vitu
 
Back
Top Bottom