Mtu mweusi auawa Marekani na askari mweupe

Inasikitisha sana kwa polisi kuuwa blacks halafu jeshi nalo linawatumia blacks kuwapeleka front line kama Iraq na Afghan wakiwahimiza kuwa ni wazawa wakafie uzalendo wao
 
Wataendelea kudunguliwa mpaka hapo watakapojitambua kuwa wao ni Waafrika.
Huwa wanajiona kama sisi siyo ndugu zao.

R.I.P ma nigga.
 
Wataendelea kudunguliwa mpaka hapo watakapojitambua kuwa wao ni Waafrika.
Huwa wanajiona kama sisi siyo ndugu zao.

R.I.P ma nigga.
Mkuu hilo ni kweli. Wamarekani weusi huwa wanajiona kama wao siyo waafrica kuna mtu mwingine niliwahi kumsikia anasema like "I am not an African, I am American". Ila sehemu ambayo unaweza kwenda ukajisikia nyumbani ni Caribbean. Wale huwa wanajiona kama ni waafrica tu na wanatunza mila za Kiafrica.
 
Hivi kwann mijitu meusi ya huko hailipizi kisasi kwa wazungu? Kwann kila siku majiji kama Chicago, NY, LA na kwengineko ni undava na mauaji baina ya weusi kwa weusi? Kwann huu utemi na ukorofi wao mtaani wasihamishie kwa hawa polisi makatili wa kizungu? Sielewi hii makitu kabisa.. Poleni sana weusi wenzetu wa huko..
 
Rais mweusi...mwanasheria mkuu mweusi....Democrats [wapenzi wa weusi] ndo wanatawala.

Inakuwaje haya yanatokea?

Huyo Obama kawafanyia nini weusi?
 
Hivi kwann mijitu meusi ya huko hailipizi kisasi kwa wazungu? Kwann kila siku majiji kama Chicago, NY, LA na kwengineko ni undava na mauaji baina ya weusi kwa weusi? Kwann huu utemi na ukorofi wao mtaani wasihamishie kwa hawa polisi makatili wa kizungu? Sielewi hii makitu kabisa.. Poleni sana weusi wenzetu wa huko..

Mbona nyie wala vumbi hamlipizi visasi kwa hivyo vipolisi vyenu vinavyowapiga marungu kila siku?
 
Nyani Ngabu hebu njoo huku nyiokunda anakunanga

USA baby
images
images
 
Marekani wameshindwa kushughulikia magaidi wanaamua kuua watu weusi ambao ni wanyonge. It's a disgrace. Bora hata ulaya sasa.
 
Mkuu, mi ni miongoni mwa walioko nje ya Africa, ila je ushawahi jiuliza kwanini tunaondoka Afrika?.

We are being targeted while they are sitting safe and sound in their palaces.

Watu wanaongea utadhani huko Afrika nako ni salama!

Kuna usalama gani huko?

Halafu watu wawili au watatu wakiuliwa na polisi haimaanishi kwamba watu weusi wote wanauliwa na polisi.

Mbona huwa sioni hii outrage kwenye black on black crime?

Nina uhakika kabisa kwa mwezi huu black on black crime ime claim weusi wengi zaidi kushinda hata haya mauaji ya polisi. Mbona sioni mapovu yakiwatoka kuhusu huo ukweli?

Mapovu ni pale tu inapotokea polisi wa Kizungu kaua mtu mweusi....lakini polisi wa Kizungu akiua mzungu [ambalo hutokea zaidi kuliko polisi wa Kizungu kuua mweusi] au mweusi akiua mweusi...hakuna outrage. Why?

Lakini hawa vichwa nazi hawana akili ya ku comprehend hilo.
 
Back
Top Bottom