knock knock
JF-Expert Member
- Mar 8, 2018
- 326
- 384
Akiwa katika ziara maalum Kisiwani Pemba Katibu MKuu wa chama cha Wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad amefanya mkutano wa ndani na kuongea na Wanawake na wajasiriamali JUKECUF ikiwa ni pamoja na kupokea wanachama wapya ambao wamejiunga na Chama cha Wananchi CUF.
Na: Mwandishi wetu.