- Kero Daraja la Mto Malagarasi linahitaji Tshs. Billioni 22 tu.
- Rais Bush mwaka 2003 aliahidi mabilioni ya shillingi kufua umeme kwa kutumia mto Mlalagarasi, pesa hizo zipo wapi na kazitafuna nani, kwani fedha zilishatiwa ktk akaunti ya serikali ya Tanzania?
- Mto Malagarasi Megawati 80 zinaweza kuzalishwa
- Kisomo cha watu wazima kimesaulikwa wakati kina mama wengine jimboni hawajui kusoma na kuandika
- Jembe la Mkono limepitwa na wakati
- Kipaumbele Maendeleo Vijijini
- Mwafaka wa kitaifa baina ya wananchi na wanasiasa
- miundo mbinu Kigoma majimbo ya CCM Kilometa 7 tu za lami na Jimbo chini ya Chadema kilomita 93 lami.
Part 1
Part 2
Last edited by a moderator: