Video jinsi watoto wa lucky vicent walivyookolewa

Hakika Jitihada kubwa zimefanyika kuwaokoa watoto hao..Mungu ambariki Franklin Graham pamoja na jopo zima la madaktari waliohakikisha matibabu ya watoto wetu wapendwa..Hakika Mungu pekee atawalipa.

Vilevile Mwenyezi Mungu awapumzishe kwa amani watoto wale wengine pamoja na wafanyakazi wa Lucky vincent waliotangulia mbele za haki.. Amen
 
Ubarikiwe Mkuu. This was a missing piece. We only saw the static pictures. I hope they are in heaven smiling at their loved ones. Blessed be the Samaritans.
 
Hakika Jitihada kubwa zimefanyika kuwaokoa watoto hao..Mungu ambariki Franklin Graham pamoja na jopo zima la madaktari waliohakikisha matibabu ya watoto wetu wapendwa..Hakika Mungu pekee atawalipa.

Vilevile Mwenyezi Mungu awapumzishe kwa amani watoto wale wengine pamoja na wafanyakazi wa Lucky vincent waliotangulia mbele za haki.. Amen
For da Name of Allah en his Prophet Mohammad (s.a.w)

(Amen)..
 
Hivi wewe umeleta hii mada hapa tukueleweje, wakati watoto wetu wameshapumzika. Hebu nawaomba mood toeni hii mada hapa, inatukumbusha majonzi makubwa mioyoni mwetu.
 
Wana bahati Sana hawa watoto mashuhuda wa Kwanza walikuwa Wazungu Sasa wapo duniani wanapata matibabu ingekuwa mashuhuda wa Kwanza wale jamaa zetu wenye ile rangi yetu Ile kitu cha Kwanza wangepigwa sachi kutafuta chochote kitu.
 
Hivi wewe umeleta hii mada hapa tukueleweje, wakati watoto wetu wameshapumzika. Hebu nawaomba mood toeni hii mada hapa, inatukumbusha majonzi makubwa mioyoni mwetu.
Mkuu kumbuka tunaishi kwa HISTORIA.

Hatuwezi kwenda mbele pasipo kutazama tulipo toka...!!
 
Ni kazi yake Mola (haina Makosa)
Wao wametangulia....na sisi wote tutafuata...

Wazungu wana Msemo..."wherever you go, death will over take you"

Mungu nae amanena "Aynamaa takuunu, yudirikummu'lmauti..

Tafsiri: Popote utakapo kuwa, kifo kitakukumba tu..

La msingi kwa wale walio tutangulia...ni kuwaombea kwa Mungu wapumzike Salama...
 
Ajali haikuwa nzuri sana kutukumbusha watoto na malaika hawa walivyoumia na kupoteza maisha.

Hakuna ajali nzuri lakini tuwaache malaika wapumzike kwa jamani.
 
Embi nisaidieni namma ya naweza Search moja kwa moja .. nipeni la mtu aliyeupload .. kwangu link husika haitaka kufunguka .
 
Back
Top Bottom