Video hii ya mtu akipasuliwa mochwari akitolewa dawa za kulevya inayo sambazwa eti wanasema ni ngwar

nyuli

Senior Member
Sep 7, 2012
128
95
Nilikua maeneo flani hivi;nikakuta jamaa wamekusanyka wakitazama video moja ya mtu akipasuliwa tumboni akitolewa dawa za kulevya eti ikisemekana ni ngwair;jamani nani mwingine kaiona video hii,nasikia inasambazwa katika mtandao wa watsup.Naomba anaye jua ufeki au uhalisia wa video hiyo atudadafulie hapa;maana nilivyo itazama nikaishiwa nguvu INATISHA BALAA.
 
Anaejua uFake au uhalisia ni marehemu peke yake na madaktari.......baadh ya watu kipo wanachokitafuta katika huu msiba.
Tuambie ni wapi hapo ili tutume makamanda wetu.
 
Nilikua maeneo flani hivi;nikakuta jamaa wamekusanyka wakitazama video moja ya mtu akipasuliwa tumboni akitolewa dawa za kulevya eti ikisemekana ni ngwair;jamani nani mwingine kaiona video hii,nasikia inasambazwa katika mtandao wa watsup.Naomba anaye jua ufeki au uhalisia wa video hiyo atudadafulie hapa;maana nilivyo itazama nikaishiwa nguvu INATISHA BALAA.
sa inabd ww u2ambie ukwl kwmb uliyemtazama n ngwair ama siye c 2tajuaje wkt ha2jaiona?labda km ungeiweka hp.
 
Iweke yutyubu tuone.

Nadhani wengi watakuwanayo tayari kwasababu inapatikana kwenye mitandao flani hivi ila you tube bado haijawekwa;ngoja nifanye utaratibu wa kuipata kabla ya saa moja jioni nitakuwa nayo mikononi!
 
Bongo bwana kila kitu dili

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Wadau video nimeipata;ila maudhui yake hayapendezi kuwekwa hadharani;kwani video hii inaonesha mwili mzima wa mtu anaye tolewa dawa hizo, akiwa hajafunikwa sehemu yoyote ya mwili wake(yupo uchi wa mnyama)mwili unaonekana umelazwa juu ya kitanda cha mochwari huku tumbo lote likiwa imepasuriwa na utumbo pamoja na vitu vingine vya tumboni vikiwa vimewekwa pembeni ya kitanda hicho.

Madaktari hawaja vaa nguo zile za kijani kama kawaida ila wamevaa makoti meupe pamoja na groves;pembeni ya chumba hicho kuna watu wengine wa kawaida wamesimama wakitizama zoezi zima likiendelea.

Aliyekuwa akichukua video hii anaonekana alikuwa huru;kwani video inaonesha kila kitu.

Upande wa miguuni mwa mwili huo kuna meza ambayo imewekwa kete za madawa ya kulevya ambazo ninyingi kidogo zinaonekana zimetolewa katika mwili ule ulio lala kitandani.

Watu wote ni weusi(waafrika) madaktari na wale ambao wamekaa pembeni.



SIJUI KAMA ALIYE PASULIWA PALE KITANDANI NI NGWAIR AU LA;KWANI WAWEZA WAKAWA WANAFANANA TU!
YEYOTE MWENYE VIDEO HII AMBAYE ANAJUA NI FEKI HAIUSIANI NA TUKIO LA MSIBA HUU ATUTHIBITISHIE KWANI WENGI HAWAELEWI WHICH IS WHICH?


I CAN NOT UPLOAD THIS VIDEO HERE SINCE THE BODY IS COMPLETELY NAKED;THE VIDEO IS TOO TERRIFYING JUST FIND IT YOURSELF FOR YOUR OWN RISK!
 
Ngwea kafaa kibegi au kafaa kibahariia.
R i p
dude uliepewa dili laku lala masikini na kuamka tajirii?
 
Nimeiona nami. Lakini naamini si Ngwea yule. Ila inatisha. Matumbo kuleee pipi kuleee. Binadamu ni mchafu balaa tumboni, sijui kwanini baadhi wanakuaga na pozi ilhali sote tu takataka tupu kiasilia.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Nimeiona, kiukweli inatisha, sikuangalia hadi mwisho lol! Huko mochwari kuna mengi yanafanyika
Nimeiona nami. Lakini
naamini si Ngwea yule. Ila inatisha. Matumbo kuleee pipi kuleee.
Binadamu ni mchafu balaa tumboni, sijui kwanini baadhi wanakuaga na pozi
ilhali sote tu takataka tupu kiasilia.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mimi ninayo hiyo Video, na nipo tayari kumtumia yeyote yule anayeitaka. Ni_PM ili ujipatie video hiyo Buree.
 
Mkuu ALEYN na mimi tafadhari naomba unitumiee hiyo video...
 
Back
Top Bottom