VIDEO: Ghorofa lililoanguka Dar

VIDEO: Ghorofa lililoanguka Dar

Mungu atuongoze, Wavuja jasho wameandamwa kila kona
 
Client ni NHC?

Duh!

Yes, itakua ni plot/mali ya NHC lakini wameingia partnership na MS Radha construction ltd (ni PPP framework-Public-Private partnership policy). Magorofa mengi ya NHC maeneo hayo ukisoma mabango yake yanajengwa kwa mfumo huo.
 
Photo0026.jpg huyu sikuwa na maelezo yake kama alikuwa ni mhanga au mfiwa au! lakini alikuwa anaonekana na machungu sana huku akisaidiwa kutembea
 
Yes, itakua ni plot/mali ya NHC lakini wameingia partnership na MS Radha construction ltd (ni PPP framework-Public-Private partnership policy). Magorofa mengi ya NHC maeneo hayo ukisoma mabango yake yanajengwa kwa mfumo huo.

NHC wanaruhusu vipi kujengewa majengo yasiyokuwa na viwango?

Is NHC covered kwa risks kama hii, au ndio mabilioni hayo ni hasara ya moja kwa moja?
 
Photo0025.jpg Huyu Mchizi alijitolea sana kusaidia kuokoa hadi pale wanajeshi na jkt walipofika baada ya masaa matatu kumfukuza Hongera sana mkuu alisikitika kufukuzwa na Polisi. ambao hawakusaidia kitu zaidi ya kufukuza watu wasisaidie. kwani polisi walisumuka watu na kuwasababishia wengine majeruhi.
 
Ivi lini itakuwa afadhali zaidi ya jana mana kila kukicha ni majangatu! Tanzania ni nomaaaa
 
Photo0009.jpg Photo0010.jpg hii gari baloon la wenye Duka na vyakula hapo kwenye buti kulionekana na vifurushi kama vya mchele na dengu
 
Photo0027.jpg buuuuuu Mzugu wa jangwani nae alikuja na mikwara balaa na kijiko chake huku akitishia watu na kijiko cheke kuwagonga wasipopisha mwishowe alifika kwenye tukio akatulizwa bila ya kuwa na la kufanya... ndio ikawa mbio za sakafuni zikaishia ukingoni

Photo0014.jpg German Sheppard hawakukosa japo walikuwa hawana kazi kwani kifusi kuisha ni kazi na mvua zimeshaanza kujongea...
 
Kwa jinsi hiyo ardhi inavyochimbwa chimbwa hapo City Centre mbona yataanguka mengi tu, ukiangalia kwa haraka tu kuna maghorofa zaidi ya 15, yanayojengwa hapo City Centre kwa umbali usikozidi SqKm 1,
 
kamati ya kuchunguza ghorofa kudondoka bado haijaundwa,au itaundwa j4 tarehe 2.
 
Back
Top Bottom