Imam Hussain kipenzi chetu cha dhati mwamba mkombozi wa waislamu alipenda sana watoto. Alimpenda sana kijana wake Ali Al Sajjad. Hapo kwenye picha chini akimuaga mara ya mwisho kabla ya umauti huku mama yake Rubab Imra Al -Qais akiangalia kwa huzuni.πππππ