Mkuu bucho Victor Ambrose is simply dereva wa boda boda asikuwa na uhakika wa mlo wa kesho kapewa dili na wasaudia kwa malipo manono kafanyiza.Magaidi ni hawa wasaudia waliopanga na kufanikisha mipango ya ugaidi. Serekali inalitumia jina la Victor si kwa bahati mbaya bali kujaribu kuondoa fikra na dhana kwamba waliofanya ugaidi ni waislamu. Utashanga pale majina ya wasaudia watakapotajwa Ustadhi Thomas Al ......
Victor Ambarose ni kijana wa miaka 20 ni dereva wa bodaboda amelelewa na bibi yake Arusha baada ya kufiwa na wazazi wake. Siku ya tukio ndiye alyempakia mtuhumiwa kwenye bodaboda yake na mtuhumiwa alishuka bila kulipa baada ya muda kidogo mlipuko ukasikika.
Hope kwa ufupi umeelawa kuhusu Victor
Wanajamvi hili ni swali lililonisumbua kwa kipini kirefu sana tangu litokee,huyu victor ambrose alikamatwa kwa kosa la kurusha bomu kwenye uzinduzi wa kanisa huko Olacity Arusha
ni kwa nini aliamua kufanya vile je alitumwa na nani maana tukio lile si dogo mpaka jumuia ya kimataifa imelisikia na limewastua
kuhusishwa kwa ugaidi na tukio hili je lengo ni nini na ugaidi huu ulikua kwa ufadhili wa nchi au taasisis gani ni alshabab au alqaeda maana nimekua nasuburi maswali haya yajibiwe na serikali yangu but kimya
Nani mwenye ufafanuzi wa kina maana JF hakuna kinachokosekana
Embu wana jamii tujiulize huyu mtu ni nani ?? Ana elimu gani ? Historia ya familia yake ikoje ? Marafiki zake ni wakina nani ? Ana mali kiasi gani na zimepatikanaje ? Je ameshawai kushtakiwa kwa kosa lolote la jinai au lingine lolote ? je ana historia yoyote ya kuwa mgomvi ?alikuwa akiwasiliana na watu gani kwenye simu au njia yoyote kwa muda wa miezi sita kabla ya tukio la bomu ? Je alikuwa anajihusisha na siasa ? Na kama alikuwa anajihusisha na siasa alikuwa ni mwanachama wa chama gani ?
Embu tujiulize alafu tumchambue huyu mtu.
karibuni.
Mkuu mimi simfahamu kiundani ila kuna watu humu jukwaani watakuwa wanamfahamu , JF ni uwanja mpana sana usishangae data zake zikajulikana.
.............mbona jamaa anaeleweka vizuri kuwa yupo curious kumfahamu huyo ambroseWewe mbona husomeki Kabisa. Nilidhani unamfahamu huyo VIctor Ambrose? Shit!
......kweli tusubiri kidogo naona wanajkwaa wanakusanya data zaidi na kuzi-arrange vema!!!Mkuu mimi simfahamu kiundani ila kuna watu humu jukwaani watakuwa wanamfahamu , JF ni uwanja mpana sana usishangae data zake zikajulikana.
Embu wana jamii tujiulize huyu mtu ni nani ?? Ana elimu gani ? Historia ya familia yake ikoje ? Marafiki zake ni wakina nani ? Ana mali kiasi gani na zimepatikanaje ? Je ameshawai kushtakiwa kwa kosa lolote la jinai au lingine lolote ? je ana historia yoyote ya kuwa mgomvi ?alikuwa akiwasiliana na watu gani kwenye simu au njia yoyote kwa muda wa miezi sita kabla ya tukio la bomu ? Je alikuwa anajihusisha na siasa ? Na kama alikuwa anajihusisha na siasa alikuwa ni mwanachama wa chama gani ?
Embu tujiulize alafu tumchambue huyu mtu.
karibuni.
Victor Ambros is an American developmental biologist who discovered the first known microRNA (miRNA). He is a professor at the University of Massachusetts ... Victor Ambros - Wikipedia, the free encyclopedia
Embu wana jamii tujiulize huyu mtu ni nani ?? Ana elimu gani ? Historia ya familia yake ikoje ? Marafiki zake ni wakina nani ? Ana mali kiasi gani na zimepatikanaje ? Je ameshawai kushtakiwa kwa kosa lolote la jinai au lingine lolote ? je ana historia yoyote ya kuwa mgomvi ?alikuwa akiwasiliana na watu gani kwenye simu au njia yoyote kwa muda wa miezi sita kabla ya tukio la bomu ? Je alikuwa anajihusisha na siasa ? Na kama alikuwa anajihusisha na siasa alikuwa ni mwanachama wa chama gani ?
Embu tujiulize alafu tumchambue huyu mtu.
karibuni.
Mkuu bucho Victor Ambrose is simply dereva wa boda boda asikuwa na uhakika wa mlo wa kesho kapewa dili na wasaudia kwa malipo manono kafanyiza.Magaidi ni hawa wasaudia waliopanga na kufanikisha mipango ya ugaidi.Serekali inalitumia jina la Victor si kwa bahati mbaya bali kujaribu kuondoa fikra na dhana kwamba waliofanya ugaidi ni waislamu.Utashanga pale majina ya wasaudia watakapotajwa Ustadhi Thomas Al ......
Mkuu bucho Victor Ambrose is simply dereva wa boda boda asikuwa na uhakika wa mlo wa kesho kapewa dili na wasaudia kwa malipo manono kafanyiza.Magaidi ni hawa wasaudia waliopanga na kufanikisha mipango ya ugaidi.Serekali inalitumia jina la Victor si kwa bahati mbaya bali kujaribu kuondoa fikra na dhana kwamba waliofanya ugaidi ni waislamu.Utashanga pale majina ya wasaudia watakapotajwa Ustadhi Thomas Al ......
Si mkristo mtupa mabomu mwenye uzoefu wa kukimbia na pikipiki.Mengine mulize Padri wa kanisa la Olasit atakupa maelezo mengine tatizo lililopo ndani ya kanisa lao.Hadi Ambrose akapandwa na hasira ya kufanya hayo
Mkuu tafadhali weka utani pembeni , watu wengine tunataka kumjua huyu mtu ni nani wewe unaleta utani ? Sio lazima uchangie kila post ,unaweza ukakaa pembeni na ukawa msomaji tu.