Victim wa mahusiano

Victim wa mahusiano

westgate

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
278
Reaction score
279
Katika mahusiano yoyote ya kimapenzi, lazima atokee victim wa mapenzi victim wa mapenzi ni yule mtu anaempenda mpenzi wake zaidi ya yeye anavopendwa.

Haiwezi kutokea mkapendana sawa katika mahusiano kwahiyo swala la victim kuwepo ni lazima na haliepukiki

Baadhi ya dalili za kuwa victim ni hizi:
* Kulizia kila mara mpenzi wako alipo, wakati yeye ni vigumu kukuulizia.
* kutamani sana kushika simu yake au kujua anawasiliana na nani wakati mwenzio hana time na wewe.
* kupenda kuhang nae mara nyingi na mkitoka unatamani muongozane kabisa.
* kuwa unamtafuta mara kwa mara tofauti na yeye anaekutafuta mara chache.

Na mengine mengi we upo upande gani wa mahusiano!? Unaenjoy kuwa victim au hupendi!?
 
Wengine tulishakuwa mavictim wakawaida,then mavictim wakomavu na sasa ni mavictim sugu...hakunaga tena kupata maumivu ya uvictim
 
Nimewahi kuwa victim lakini pia kuna mtu amewahi kuwa victim kwangu.

Lakini mi sioni tatizo la mtu kuwa victim.Tatizo huja pale mtu anapotaka kuutumia 'uvictim' wako kukutorture,na hapa ndipo shida huanza

Poleni sana wote mnaowapenda sana wenzi wenu,lakini wao kwa kujua hilo wanatumia hiyo hali kuwaumiza na kuwatendea isivyo haki
 
mie uvictm wng n kw toto yangu tuu... yn kusema ntakua bze kumuulzia et upo wp??unafny nn?? au nshke sm yake HAPANA....naweza ulza vle tu asjskie vby lkn sio et ndo vctm...mie nsulziaga mtt amekula vzr??anacheza?? uwah kua getn mapm anavorud toka shule...nkmuelekeza dada... ila yy atarud tuu hapa n.MTAKUJA STREET
 
Victim huwa mwanzoni tu mwa mahusiano mkishakuwa na majukumu ya familia uvictim hupungua sana au kuisha kabisa
 
mie uvictm wng n kw toto yangu tuu... yn kusema ntakua bze kumuulzia et upo wp??unafny nn?? au nshke sm yake HAPANA....naweza ulza vle tu asjskie vby lkn sio et ndo vctm...mie nsulziaga mtt amekula vzr??anacheza?? uwah kua getn mapm anavorud toka shule...nkmuelekeza dada... ila yy atarud tuu hapa n.MTAKUJA STREET

Samahani mkuuu.
Je mtoto wako ndo kakuandikia hapa au ni wewe?
 
siweZI kuwa Victm tena na MILELE
WOTE TUSEME AMEEEN!
 
mie uvictm wng n kw toto yangu tuu... yn kusema ntakua bze kumuulzia et upo wp??unafny nn?? au nshke sm yake HAPANA....naweza ulza vle tu asjskie vby lkn sio et ndo vctm...mie nsulziaga mtt amekula vzr??anacheza?? uwah kua getn mapm anavorud toka shule...nkmuelekeza dada... ila yy atarud tuu hapa n.MTAKUJA STREET

rejea notes zako za muandiko
 
ila kama usipokua victim unaenjoy sana.... kuna raha yake kuulizwa ulizwa mahari ulipo!!!
 
mie uvictm wng n kw toto yangu tuu... yn kusema ntakua bze kumuulzia et upo wp??unafny nn?? au nshke sm yake HAPANA....naweza ulza vle tu asjskie vby lkn sio et ndo vctm...mie nsulziaga mtt amekula vzr??anacheza?? uwah kua getn mapm anavorud toka shule...nkmuelekeza dada... ila yy atarud tuu hapa n.MTAKUJA STREET

Wuuh??????
 
That is my nightmare,,i always want to stay out of it ndo apoo mambo hua yananiendea harijojo
 
Sijawahi kuwa "Victim" hata siku moja. Labda ni kwa sababu ya dharau nilizokuwa nazo kwenye haya mambo.
 
Lakini mi sioni tatizo la mtu kuwa victim.Tatizo huja pale mtu anapotaka kuutumia 'uvictim' wako kukutorture,na hapa ndipo shida huanza

hapo ni kweli kabisa mkuu... omba usipate mtu ambaye hathamini uvictim wako, utakoma!!! na mbaya zaidi mpaka uwe victim basi ushapenda kupitiliza, ata kujizuia inakua shida
 
No one can make you a victim ,without your consent
 
Back
Top Bottom