Mwl. Kaijage
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 216
- 214
Dr Sinare Yusufu Sinare kaja na jipya kukoleza
moto na kuwaamsha wapinzani wa Zitto
wameifanya hiyo ni habari kubwa na ITV/RadioOne
wanaipa headline ya kutosha hiyo habari ya
Agricultural Council of Tanzania Vs Alliance for
Change and Transparency.
Wanasiasa nao wameibeba hii kama hoja katika
mijadala mbalimbali wafuasi wanaumana,
wanatukanana n.k
Huyu Dr Sinare Y. Sinare ameamua mwenyewe
ama amesukumwa kutimiza ajenda maalumu ya
wanasiasa?
1: Mbeya City Council (MCC)
Mbeya Cement Company (MCC)
Millenium Challenge Corporation (MCC)
2: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Christian Council Movement (CCM)
3: Tanzania Cotton Board (TCB)
Tanzania Coffee Board (TCB)
Tanzania Cashnewt Board (TCB)
4: Kilimanjaro Plantation Limited (KPL)
Kilombero Plantation Limited (KPL)
5: Access Bank Tanzania (ABT)
Advans Bank Tanzania (ABT)
Huo mfanano wooote haukuonekana hapo kabla ila
leo baada ya Zitto kujiunga na ACT ndio huo
mfanano umeibuka?
Zitto amekuwa tatizo sana, jinsi anavyoandamwa
hivi ndivyo jamii inavyoona kuwa wenye
kumuandama wana ajenda zao za chuki na
uhasama.
Yeye kajizuia kuzungumzia kuhusu chama
alichotoka kwa kauli mbiu isemayo "Forward Ever
Backward Never" na akawaasa wafuasi wake
wakome kujibizana na wafuasi wa chama
alichotoka. Lakini wafuasi wa chama alichotoka
wanaendelea na mashambulizi dhidi yake na huko
alikokwenda.
Juzi kulikuwa na kesi ambayo wafuasi wa chama
alichotoka waliigeuza ajenda bahati mbaya
Mahakama Kuu ikatupilia mbali zuio la Mkutano
Mkuu wa ACT Tanzania na sasa utafanyika kama
ulivyopangwa kesho Jumamosi na Jumapili
itakuwa ndio uzinduzi wa Chama pale Diamond
Jubilee kuanzia saa 9:00 alasiri.
Ifike mahala kila chama kifanye mambo yake.
Kuwachochea vijana kushambuliana kunaweza
kuwa na matokeo mawili yenye faida kwa vyama
husika ama yenye hasara kwao wote.
moto na kuwaamsha wapinzani wa Zitto
wameifanya hiyo ni habari kubwa na ITV/RadioOne
wanaipa headline ya kutosha hiyo habari ya
Agricultural Council of Tanzania Vs Alliance for
Change and Transparency.
Wanasiasa nao wameibeba hii kama hoja katika
mijadala mbalimbali wafuasi wanaumana,
wanatukanana n.k
Huyu Dr Sinare Y. Sinare ameamua mwenyewe
ama amesukumwa kutimiza ajenda maalumu ya
wanasiasa?
1: Mbeya City Council (MCC)
Mbeya Cement Company (MCC)
Millenium Challenge Corporation (MCC)
2: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Christian Council Movement (CCM)
3: Tanzania Cotton Board (TCB)
Tanzania Coffee Board (TCB)
Tanzania Cashnewt Board (TCB)
4: Kilimanjaro Plantation Limited (KPL)
Kilombero Plantation Limited (KPL)
5: Access Bank Tanzania (ABT)
Advans Bank Tanzania (ABT)
Huo mfanano wooote haukuonekana hapo kabla ila
leo baada ya Zitto kujiunga na ACT ndio huo
mfanano umeibuka?
Zitto amekuwa tatizo sana, jinsi anavyoandamwa
hivi ndivyo jamii inavyoona kuwa wenye
kumuandama wana ajenda zao za chuki na
uhasama.
Yeye kajizuia kuzungumzia kuhusu chama
alichotoka kwa kauli mbiu isemayo "Forward Ever
Backward Never" na akawaasa wafuasi wake
wakome kujibizana na wafuasi wa chama
alichotoka. Lakini wafuasi wa chama alichotoka
wanaendelea na mashambulizi dhidi yake na huko
alikokwenda.
Juzi kulikuwa na kesi ambayo wafuasi wa chama
alichotoka waliigeuza ajenda bahati mbaya
Mahakama Kuu ikatupilia mbali zuio la Mkutano
Mkuu wa ACT Tanzania na sasa utafanyika kama
ulivyopangwa kesho Jumamosi na Jumapili
itakuwa ndio uzinduzi wa Chama pale Diamond
Jubilee kuanzia saa 9:00 alasiri.
Ifike mahala kila chama kifanye mambo yake.
Kuwachochea vijana kushambuliana kunaweza
kuwa na matokeo mawili yenye faida kwa vyama
husika ama yenye hasara kwao wote.