Kama sijakuelewa kabisa.VIICHEKESHO VYA PENSION
1. Watu wanasahau ndani ya pension mchango wa mwajiri ni mkubwa kuliko wa mfanyakazi!
2. Kudai pension kabla ya kuzeeka ni sawa na mtoto Wa shule ya msingi kudai baba ampe ada mpaka ya chuo kikuu atapanga mwenyewe utaratibu wa kulipa ada baadae.
3. Watu wakizeeka wanadai serikali haiwajali wazee serikali nayo inawapeleka Nungwi kustarehe.
...
Kwa vichekesho hivi bonyeza neno "TANZANIA"
Unawakejeli pensioners.uzee ni thawabu na siyo laana.Kwa kejeli hizi basi omba sana usifikie uzee.VIICHEKESHO VYA PENSION
1. Watu wanasahau ndani ya pension mchango wa mwajiri ni mkubwa kuliko wa mfanyakazi!
2. Kudai pension kabla ya kuzeeka ni sawa na mtoto Wa shule ya msingi kudai baba ampe ada mpaka ya chuo kikuu atapanga mwenyewe utaratibu wa kulipa ada baadae.
3. Watu wakizeeka wanadai serikali haiwajali wazee serikali nayo inawapeleka Nungwi kustarehe.
...
Kwa vichekesho hivi bonyeza neno "TANZANIA"
Ivi hiyo APE ina maana gani ?HAKUNA POST HAPO ,,,
1,Fanya analysis ya new way of pension
( full pension ,,,1/580 x jumla ya miezi ya uchangiaji x mishahara (APE)
2, MKUPUO 1/580 x jumla ya miezi ya uchangiaji x mishahara (APE) X 12.5 X 25%
3,PENTION KWA MWEZI 1/580 x jumla ya miezi ya uchangiaji x mishahara X 75% X 1/12
KWA 12 YEARS TU JAMANI TOENI MZIGO MTU AJUE PA KUANZIA hahaa,,,,fomula hizo duuuu...
Ninyi wanasiasa akili zenu ziko kwenye matumbo yenu hamuangalii future za watu. Haya ni mawazo ya kipumbavu kabisaVIICHEKESHO VYA PENSION
1. Watu wanasahau ndani ya pension mchango wa mwajiri ni mkubwa kuliko wa mfanyakazi!
2. Kudai pension kabla ya kuzeeka ni sawa na mtoto Wa shule ya msingi kudai baba ampe ada mpaka ya chuo kikuu atapanga mwenyewe utaratibu wa kulipa ada baadae.
3. Watu wakizeeka wanadai serikali haiwajali wazee serikali nayo inawapeleka Nungwi kustarehe.
...
Kwa vichekesho hivi bonyeza neno "TANZANIA"
Nakuona chakubanga umetumwaVIICHEKESHO VYA PENSION
1. Watu wanasahau ndani ya pension mchango wa mwajiri ni mkubwa kuliko wa mfanyakazi!
2. Kudai pension kabla ya kuzeeka ni sawa na mtoto Wa shule ya msingi kudai baba ampe ada mpaka ya chuo kikuu atapanga mwenyewe utaratibu wa kulipa ada baadae.
3. Watu wakizeeka wanadai serikali haiwajali wazee serikali nayo inawapeleka Nungwi kustarehe.
...
Kwa vichekesho hivi bonyeza neno "TANZANIA"
Hana uzito wowote,ni kijana tu yupo kwa shemeji yake kashashiba ugaliHizi id fake! Usikute mhusika ni mtu mzito sana kuliko tunavyodhania.
For sure, anaweza kuwa waziri wa serikali ya awamu ya tano na sasa anatafuta kuhalalisha madudu yaoHizi id fake! Usikute mhusika ni mtu mzito sana kuliko tunavyodhania.
Kama hivi ndivyo vinavyokuchekesha basi hujielewi. Onea huruma wazee wetu wanaoteseka sasa kwa sababu ya hizi sheriaVIICHEKESHO VYA PENSION
1. Watu wanasahau ndani ya pension mchango wa mwajiri ni mkubwa kuliko wa mfanyakazi!
2. Kudai pension kabla ya kuzeeka ni sawa na mtoto Wa shule ya msingi kudai baba ampe ada mpaka ya chuo kikuu atapanga mwenyewe utaratibu wa kulipa ada baadae.
3. Watu wakizeeka wanadai serikali haiwajali wazee serikali nayo inawapeleka Nungwi kustarehe.
...
Kwa vichekesho hivi bonyeza neno "TANZANIA"
Na huenda ni limwanafunzi la waziri wa kazi pindi alipokuwa anafundisha! Hawa walimu waliokimbilia siasa na maadui wa ustawi wa wastaafu kwani wana roho mbaya kuliko shetani aliyeumbiwa eoho hiyo! Kiuhalisia walichojifunza na kuhitimu vyema ni kujipendekeza, unafiki na roho mbaya! Mungu huna kazi na eoho hizi zinazoumiza roho zisizo na hatia? Zichukue basi hata ukaziweka icu zitaabike pamoja na mwili!Utakuta aliyeleta mada ni kigogo mkubwa sana hapo Lumumba.