Vichaka Vyenu Vinakatisha Mud bwana,

Mwanamke msafi huwa na mwanamme msafi..period..kama wewe ni mchafu utakuwa na wachafu wenzako..
 
Nyoko zako mtajiju kama mmezalishwa na kuachwa ha ha ha mie mtoto chuchu saa 6 ziwa konzi.
Sema jingine umeona thread zake.

Nitake radhi,nani kazalishwa?mimi nazalisha. Alafu umesemaje?chuchu sa 6?wenye nazo huwa hawasemi,,mh!najua hapa jf unaweza kusema chochote,chuchu sa 6,mrefu,umejaaliwa nyuma,mzuri,nk ila mtu akikutana nawe live anaweza kutamani ayeyuke au azirai.jipe promo tu.
 
jamani..! Sie wa uswazi tuna shida eeeh!, hadi kunyoa yabidi "jf alarm"...lols
Sisi wengine tuna uzoefu wa kula kuanzia watoto wa uswazi huku kwetu, mpaka masistaduu, na watoto wife material tunajua tofauti so hatuwezi kuja hapa kugeneralized..au hata kuanzisha hizi mada...mtu kama una poor exposure ndo vitu ka hivi vinakuwa ishu..
 

Mbona wanawake wa makabila ya waswana, Waswazi na makabila kadhaa ya kusini mwa Afrika hawanyoi wanaume hawalalamiki?
 

Mwanae anashida sana
 
Mbona wanawake wa makabila ya waswana, Waswazi na makabila kadhaa ya kusini mwa Afrika hawanyoi wanaume hawalalamiki?

Umewahi kuuliza sababu??? Ukienda tena waulize halafu uje utupe mrejesho!!
 
hivi wewe Morg ushazunguka na vidume vingapi?

mpaka leo nashindwa kukuchorea route kabisa uliyopita yani!

halafu nahisi una ID zaidi ya moja, kwanini unapost thread halafu unafutika?

hebu jiseme mwenyewe....!

we ngoja niseto, nina mwezi tu ntakuwa kwa hewa rasmi kwa ajili yako, tutazungumza kiutu uzima zaidi!
 
Last edited by a moderator:
Hiii ni safisha jijii hutaki kufaa sema siku zote ukwelii mchunguuuuuuuuu
 
Umewahi kuuliza sababu??? Ukienda tena waulize halafu uje utupe mrejesho!!

Wao ni fahari kwa mwanamke kuwa na mavuzi kiasi hicho ni sawa tu na wale wanawake waliotahiriwa au wanaovuta visimi ili viwe virefu
 

Poleee ila inaelekea mlikutana barabarani na sio mpenzi wako wa muda mrefu kwani wewe ni voda fasta mpaka unalalamika hivyo. Kama ni mpenzi wako na una malengo nae sioni haja ya wewe kulalamika na kuandika humu simple mnaazia bafuni wote wawili na ukikuta mazingira sio mazuri usafi lazima ufanyike na wewe ndo unatakiwa ufanye huo usafi(msaidie). Kwa mtazamo wangu inaelekea mmekurupuana somewhere na kama ni dar uwiiiiiii bila kuanzia bafuni hakuna kitakacho endelea kabisaaaaaa coz joto tu la kutoka mlimani city ndani mpaka ukute gati lako parking tosha kabisa kuharibu mazingira kama hakujakaa sawa.
 
Wenzako wanapenda hizo misitu we unataka zifyekwe ili iweje ? Kwanza tutake radhi umetushambulia sana .
 
We mwanamke una maneno sana ndio maana unashindwa kudumu na partners unakuja hapa kuanza kusema "single mothers are discriminated against"

Ngoja nikufundishe kitu ingawa "old dogs can't learn new tricks" wanaume hatupendi wanawake wenye maneno maneno na wanojifanya wajuaji sanaaa. Hata kama mwanaume ana makosa, you have to find a polite way to talk to him la sivyo ukijifanya unapandisha sauti ndio wanaume wanakukimbia bila hata kukwambia.

Kama umekutana na mwanaume hajanyoa, kaa kimya, kama inawezekana kupata vifaa tafuta nenda kamsafishe. Itaondoa maneno na itawaleta karibu zaidi. Unapoanza kumsimanga ndio mwisho wa siku hata kusimamisha atashindwa halafu uje tena hapa useme wanaume wa siku hizi hawasimamishi.

Ni hayo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…