Wewe ndio hujiamini,umekosa hoja umedandia usingo mom wake. Kwa hiyo hatakiwi kusema chochoke kisa ni singo mom??bora yeye kasema ni singo mom,yawezekana hata wewe ni singo na una watoto 9 na umedispoziwa ila hutaki kusema.
Wengi hamfyeki bwana, usitake kurusha juu na kukidaka mwenyewe
Natanguliza samahani kwa wale ambao nitakuwa nimewakwaza jana,lakini ndugu zangu,Tupo kwajili ya kufahamishana tu sio ugomvi wala kashfa,kwani najua mtu akishajua mapungufu yake anajua jinsi ya kutafuta suluhisho.
Nawaheshimu sana kaka zangu,baba zangu,wadogo zangu wote humu JF,Tusambaze upendo.MBARIKIWE.
Back to our main issue:
Jamani jamani jamani,tuko faragha, mwanaume unataka upewe raha zote za dunia,na faragha ni sehemu tofauti na sehemu yoyote,nahitaji watu kujiacha na kujimwaga kwa kila aina lakini kumbe sehemu nyingine majanga hata kuisogelea unawaza na mud inatoka.Unakuta ndugu honey kafuga msitu mkubwa wa kuka chatu na wajukuu zake,
Wanaume kwanini mnakuwaga wavivu wa kusafisha mazingira ya bwana mkuu?(kunyoa mazivu) unataka kumlisha mwenzio majani na taka taka nyingine jamani kweli?
Eti cha ajabu mnakumbuka kutoa ndevu na nywele kila baada ya siku kadhaa lakini zivu na makwapa,ni vichaka vya hatari.
Tunajua mnakuwa busy na majukumu, tunajua mnapitiwa,wewe uliyeoa mkumbushe basi mkeo akusaidie maana si wake wote wanajua wajibu wao,
Wewe unayejiita bachela,jitahidi kuweka hata ratiba au maandishi ukutani ukumbuke kujinyoa sio mnakuja kutulalamikia hapa,eti demu gani hajui mapenzi,hajui kunyonya, anyonye miuchafu hiyo?
Najua mtarudisha kibao kwa wanawake pia mkumbuke nyie mmezidi tena ukutane na mwanaume hata kapafyumu hakajui,saaalaaaleeee boxer uvundo uvundooo.
Kwakweli inasikitisha
JITAHIDINI USAFIIII BWANA
Huu uzi ungekuwa kule JWL ningechangia ipasavyo, huku nahofia watoto wadogo wanaweza kusikia.
Lakini kwa kifupi tu, mleta uzi nakupa pole kwa kuopoa malapulapu yasiyojua hata kuoga. Shetani mwenzake shetani na kamwe hawezi kuwa
NOTE; VUZI NI PAMBO LA U.CHI
Umeona eeeee mi naona usingle mom unamsumbua.
He he he kichaka kidogo dogo kiwe kinachomachoma rahajeee sasa afu vidole mwenzake vinywele si upara
yani ulivyoitoa hiyo umefanya nicheke
eti kunyoa hadi wagombezwe na morg 🙂
Mumsaidie huyu mwenzeni..ana tatizo kwenye maisha yake ya mapenzi..au labda utakuta ni mtu wa uswazi kule kwetu mbagala-mgeni nani..mumsaisie..Ona sasa thread zako
Inaweza kuwa jamaa aliyezalisha kachoka kwa mambo kama haya...mkuu embu assume ndo demu wako..24/7 anawaza viungo volivyopo kwenye perinium tu anawaza ngono tu..kuna wanaume wanabahati mbaya sana kwenye maisha..wanakutana na watu wenye personality za ajabu sanaHuyu mwanamke yupo desperate sana na maisha na shida ninayoiona ni kwamba anatafuta perfect man ambae ni ndoto kumpata.
Hajatuambia huyo mwanaume alomzalisha amekwenda wapi. Usikute kapigwa du.du na mwanaume akamuacha kwa visa kama hivi.
Mumsaidie huyu mwenzeni..ana tatizo kwenye maisha yake ya mapenzi..au labda utakuta ni mtu wa uswazi kule kwetu mbagala-mgeni nani..mumsaisie..
Raha ya mapenzi kunyoana we ndo mchafu ulitakiwa umsafishe mwenzako