Vibali vya kusafirisha Mkaa

jashmoe32

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
1,099
Reaction score
438
Habari wajumbe,samahan ila nan anajua taratibu za kupata vibali vya kusafirisha mkaa vile vya temporary?najua ni Wizara ya Maliasili ila taratibu zikoje?
 
Ukienda huko hakikisha unavaa shati la mikono mirefu,utaratibu ni formalities!
 
Waone pale wizarani ofisi karibu na junction ya Chang'ombe pale.
Watakupa ushirikiano mzuri. Kuna ishu nilienda kufatilia jamaa walinipa info zote makini na ushirikiano wa kutosha.
 
Mjomba soon unatoka mkaa unalipa sana ila kwenye check point itabidi ugawe ngawira kweli
 
Poa mkubwa na ntafilka wizarani ili kuulizia mambo yakoje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…