Viatu Vya Shujaa Maguful vimempwaya Dr Rutto

Viatu Vya Shujaa Maguful vimempwaya Dr Rutto

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,612
President Ruto amejaribu Sana kumuiga Shujaa Magufuli lakini ameshindwa kutumika mbinu ya Shujaa katika kuservice Deni la Taifa

Wakati Shujaa Magufuli aliwabana Matajiri na kuwahurumia Wajasiriamali Kwa kuwapa Kitambulisho yeye Ruto anawaogopa Matajiri na kuwabana Jua kali na Mama mboga

RIP Shujaa Magufuli

Mtanikumbuka 😂😂
 
President Ruto amejaribu Sana kumuiga Shujaa Magufuli lakini ameshindwa kutumika mbinu ya Shujaa katika kuservice Deni la Taifa

Wakati Shujaa Magufuli aliwabana Matajiri na kuwahurumia Wajasiriamali Kwa kuwapa Kitambulisho yeye Ruto anawaogopa Matajiri na kuwabana Jua kali na Mama mboga

RIP Shujaa Magufuli

Mtanikumbuka 😂😂
Magufuli alifanya nini?
 
Back
Top Bottom