Viatu vya Michezo (Jogging) Vinapatikana Wapi?

Viatu vya Michezo (Jogging) Vinapatikana Wapi?

ikigijo

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
1,866
Reaction score
1,943
Wakuu wa Michezo habari,

Naomba Kujuzwa. Chimbo gani naweza pata viatu vizuri vya Michezo vya Jogging! Kama Nike. Unaweza Kunielekeza Mitumba pia sababu Viatu Vizuri na Bei nzuri vinapatikana Mitumbani Halafu Vinaoshwa vinapelekwa Dukani kuuzwa hili nimelishuhudia!

Sasa kila nikiwauliza jamaa wa Pale Mwenge kuwa wanatoa wapi viatu hawaniambii. Wanasema tuu kuna chimbo. Mwingine akanidokeza Karume..Lakini ukienda wewe hutavipata ni vikali mnoo ila sisi hapa tunakuuzia 60,000 kwenda mbele. Wakuu Chimbo gani naweza pata Viatu vya Jogging?

Nimepita Mwenge, Dar city Mall sijapata.

Nahisi na wao kuna chimbo wanaenda kuchukua.

Ahsante!

1622797023616.png

 
Asubuhi sana pale Karume, huku kwa nyuma kuna kimtaa flani, utawakuta machinga kibao watu wanachana mabalo mnashindana ubavu kugombea 😀.
 
Asubuhi sana pale Karume,huku kwa nyuma kuna kimtaa flani,utawakuta machinga kibao watu wanachana mabalo mnashindana ubavu kugombea 😀.

Mkuu Asubuhi ya Saa Ngapi? Siku zote za Juma Au Kuna Siku Maalum?@muhomakilo jr
Alfajiri saa 12 Au saa 2,Au saa 3 au saa 4?

Nyuma ya wapi? Unamaanisha Nyuma ya Soko
Ok Cha Msingi Kujua Muda Kaka Ahsante sana Mkuu!
 
Mkuu Asubuhi ya Saa Ngapi? Siku zote za Juma Au Kuna Siku Maalum?@muhomakilo jr
Alfajiri saa 12 Au saa 2,Au saa 3 au saa 4?

Nyuma ya wapi? Unamaanisha Nyuma ya Soko
Ok Cha Msingi Kujua Muda Kaka Ahsante sana Mkuu!
Nyuma ya soko kama unaenda mchikichini,muda saa 1 asubuhi na kuendelea,ukikosa hapo zama ndani ya soko,huwezi kosa mkuu.
 
Wakuu wa Michezo habari,

Naomba Kujuzwa. Chimbo gani naweza pata viatu vizuri vya Michezo vya Jogging! Kama Nike. Unaweza Kunielekeza Mitumba pia sababu Viatu Vizuri na Bei nzuri vinapatikana Mitumbani Halafu Vinaoshwa vinapelekwa Dukani kuuzwa hili nimelishuhudia!

Sasa kila nikiwauliza jamaa wa Pale Mwenge kuwa wanatoa wapi viatu hawaniambii. Wanasema tuu kuna chimbo. Mwingine akanidokeza Karume..Lakini ukienda wewe hutavipata ni vikali mnoo ila sisi hapa tunakuuzia 60,000 kwenda mbele. Wakuu Chimbo gani naweza pata Viatu vya Jogging?

Nimepita Mwenge, Dar city Mall sijapata.

Nahisi na wao kuna chimbo wanaenda kuchukua.

Ahsante!

Je vya watoto size 35 naweza kupata mkuu?
 
Nyie Last born mnazingua kweli maduka yapo lukuki kila kona
 
karume alfajiri saa kumi na moja, wanafungua viatu....jamaa wanaviwahi wanaosha wanakuja kuuza bei za kitalii.
ukitaka bei ya serikali wahi hiyo mapema
 
Back
Top Bottom