Habari wadau?naomba kuuliza wapi naweza pata viatu vya kimasai (Sendo) vya kike na kiume kwa bei ya jumla hapa Dar?na bei ni shilling ngapi?
Habari mdau!!!sisi kiwanda chetu kinajulikana kama 100 Sandals company, ukitafuta tangazo letu hapa jf utaliona..inshort tunahusika na kutengeneza sendo za kimaasai za kike,kiume na watoto,,,tunatengeneza flat sandals na MAKIRIKIRI,,, tupo DODOMA lakini hapo DAR tunae wakala wetu atakaekuletea mizigo hadi ulipo,,,VIATU vya kike bei jumla ni 11000 na kiume ni 13000..kwa maeleza zaidi na picha za sample zetu nicheki WhatsApp:::0765596933,,