Ziltan JF-Expert Member Aug 20, 2011 2,649 6,832 Jan 31, 2012 #1 Tafadhali kwa mwenye uhakika naomba kufahamishwa kwa walimu wa shahada tunapaswa kuwa na viambatanisho gani wakati wa kuripoti. Ahsanteni
Tafadhali kwa mwenye uhakika naomba kufahamishwa kwa walimu wa shahada tunapaswa kuwa na viambatanisho gani wakati wa kuripoti. Ahsanteni
Laurence JF-Expert Member Jun 11, 2011 3,104 420 Jan 31, 2012 #2 Print ile page yenye jina lako la kupangiwa kituo,beba vyeti vya O&A level plus cheti cha kuzaliwa kama unacho,nami nmeelezwa hvyo mkuu
Print ile page yenye jina lako la kupangiwa kituo,beba vyeti vya O&A level plus cheti cha kuzaliwa kama unacho,nami nmeelezwa hvyo mkuu
The secretary JF-Expert Member Jan 14, 2012 4,149 2,536 Jan 31, 2012 #3 Laurence said: Print ile page yenye jina lako la kupangiwa kituo,beba vyeti vya O&A level plus cheti cha kuzaliwa kama unacho,nami nmeelezwa hvyo mkuu Click to expand... kama una cheti cha ndoa au mtoto na cheti cha chuo au uthibitisho wowote
Laurence said: Print ile page yenye jina lako la kupangiwa kituo,beba vyeti vya O&A level plus cheti cha kuzaliwa kama unacho,nami nmeelezwa hvyo mkuu Click to expand... kama una cheti cha ndoa au mtoto na cheti cha chuo au uthibitisho wowote
Mpatanishi JF-Expert Member Jul 1, 2011 1,810 623 Feb 1, 2012 #5 mogaka said: Nasikia na passport size 6 zinatakiwa. Click to expand... mmmhh pasport size kwani unaomba viza??
mogaka said: Nasikia na passport size 6 zinatakiwa. Click to expand... mmmhh pasport size kwani unaomba viza??
M Mr Mayunga JF-Expert Member Jun 11, 2011 313 40 Feb 2, 2012 #6 Orignal cert's,kila chert kopi 8,na paspot 8!yana m.f chet cha kuzaliwa kopi nane,cha 6 kopi 8,cha 4 kopi 8,trancript yenye 6 semista risult kopi 8'!kapa diploma au grade a hvyohvyo.
Orignal cert's,kila chert kopi 8,na paspot 8!yana m.f chet cha kuzaliwa kopi nane,cha 6 kopi 8,cha 4 kopi 8,trancript yenye 6 semista risult kopi 8'!kapa diploma au grade a hvyohvyo.
KANCHI JF-Expert Member Sep 3, 2011 1,533 230 Feb 2, 2012 #7 Mpatanishi said: mmmhh pasport size kwani unaomba viza?? Click to expand... Utajua mwenyewe!.
Vmark. JF-Expert Member Aug 2, 2011 1,353 270 Feb 2, 2012 #8 Na risiti ya usafiri ulio2mia kwa ajili ya malipo ya usafiri na mizigo.