Veterinary medicine

sir doctor

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
291
Reaction score
66
Salama wadau? Mwenye kufahamu hii kozi changamoto zake na ugumu wake kwasababu watu wengi wanatuambia ni ngumu kuliko hata MD??? Nisaidieni
 
MD haioni ndani kwenyee BVM hiyo kozi kama hujaaga kwenu pale SUA usiguse maana semister ya pili unaweza ondoka wanaanza 70 kumaliza wakiwa 9 au kumi na ni kawaida!

MD hata sio ngumu kama hiyo kozi ni miaka 5 unasoma binadamu as mnyama na vingine vingiii
 
Sema kozi ya veterinary medicine ni nzuri sana kwa ngazi ya diploma, maana unaenda katika field area na ndio kwenye pesa
 
Kinacho ni boa n kusoma veterinary miaka mi 5 sa iyo miaka c ni bora nsome MD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…