Verfied By VISA Password

Njunwa Wamavoko

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
5,757
Reaction score
2,388
Habari za majukumu wana jukwaa

Leo hii nilikuwa nanua kakifaa fln online bila kutumia PayPal i.e kwa kutumia Card no. security code,na Jina la mwenye kadi bila kusahau Expiration dei ya card.

Lkn niliposubmit next step wakaniomba Verified by VISA passwd sasa swali langu au shida yangu ni je?
1.Hiyo kitu ni nn?
2.Na je ni sawa na ile ninayoitumia ATM Mashine?
3.Au mpaka uwe umefanya registration kwa hawa jamaa https://verified.visa.com/aam/activation/landingPage.aam
 
mbona haraka bro. Tusiojua hili tuko wengi nakuomba unifundishe hatua kwa hatua. Usiudhike tafadhali. Nikitaka kulipia kwa kadi nifanyeje?

kaka kulipa kwa kadi kunahitaji vitu vinne.

1. namba ya card ambapo zinakua ni herufi za mbele za card nafkiri zipo 16

2. account name ambayo yanakua majina yako ya card

3. expire date. inaandikwa pale mbele ya kadi

4. security(verification) code ya kadi ambayo hii zinakua ni namba tatu za nyuma ya kadi.

hio inakua transaction ya kawaida. ukumbuke hutaulizwa acount number wala pin code ya atm unapofanya manunuzi ya online.

kuelewa zaidi kuhusu kununua online njia ambayo ni salama angalia tutorial hii

https://www.jamiiforums.com/tech-ga...neza-paypal-na-link-na-kadi-yako-ya-benk.html
 
ni herufi 3 za mwisho nyuma ya card

Mkuu nimejaza Page ya kwanza 3 SC,card no,expiry date na Jina
page ya Pili wakanambia wanataka ku-confirm kama hii Card ni ya kwangu nakuzuia Unathorized Online transacts hivo inabidi nijaze Passwd ya VISA VERIFIED nikajaribu hizo 3 sc wakazikatalia
Kwa chini wakasema Forgot Password nikabofya hapo nikajaza Security codes na box la Pili wakaomba "Card no and verification Code"

Nikajaza Card no wakakataaa mara ya Tatu nikaja ile code wamenitumia CRDB kuactivate acc yangu for online transaxn
Meseji niliyopata ni hii hapa

 
ni herufi 3 za mwisho nyuma ya card
Hiyo ni issue tofauti kabisa. Hii ni added security katika bank Fulani Fulani, Mfano nikitumia Bank of America debit/credit card zinaenda thru bila kuuliza mambo mengi lakini nikitumia bank Midwest (Bank ndogo) kununua kitu cha zaidi ya $300.00 online wataomba hizo VISA Verification - Kitu kinachofanyika katika hiyo process inafungua website ya bank yako, inakupa option ya ku-login kwenye bank yako login zikienda thru ndo umekuwa Verified na transaction inakamilika.
 

Jaribu kuwafata ofisin wakupe maelezo zaid
 

Mpaka uwe umejisajili na hao paypal lakini mkuu kuwa mwangalifu sana hayo ma site mingi wana ghana wawetengeneza kuiba credit card infomation na kuzitumia wanavyo taka wao kwahiyo kuwa makini sana hivyo vicent vyako utavikuta vyote vimekwenda na maji
 
Mpaka uwe umejisajili na hao paypal lakini mkuu kuwa mwangalifu sana hayo ma site mingi wana ghana wawetengeneza kuiba credit card infomation na kuzitumia wanavyo taka wao kwahiyo kuwa makini sana hivyo vicent vyako utavikuta vyote vimekwenda na maji

Acha kututia woga basi emu toa mfano wa site hizo
au unasema just because umesikia wanasema
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…