VAR imekuwa kituko Leo nchini England baada ya kutoa penalty baada ya kipenga cha mwisho, wakati Brighton and Hoves walipowaalika Man United.
Hivi vituko vya marefa vipo nchi 3 tuu,Vpl ya Tz (kambuzi na wenzake), Absa Primer League na EPL tu
Hongera man U kwa kubebwa.