Kwa wapenzi wa mpira wa miguu, Mwaka 2010 FIFA ilitangaza rasmi mapinduzi ya technolojia katika mpira wa miguu, hii ni baada ya Kombe la Dunia lililopigwa South Africa kwa Madiba. Modern football inayoongelewa hapa ni baadhi ya mambo yaliyofanyiwa mabadiliko katika Sheria za Mpira wa miguu...