Umesema kuwa hao wadudu huwa wapo tu.
Kesi hii inaweza kuwa inafanana na wadudu wa TB kwamba kila mtu anao ila pale kinga yako inaposhuka ndio ugonjwa unaibuka.
Ndio maana nikashauri ucheki immunity
Naomba utambue kwamba matumizi ya antibiotics yanashusha sana immunity na mwili wako ukawa unapata sana fungal attacks.
OTIS
Umesema kuwa hao wadudu huwa wapo tu.
Kesi hii inaweza kuwa inafanana na wadudu wa TB kwamba kila mtu anao ila pale kinga yako inaposhuka ndio ugonjwa unaibuka.
Ndio maana nikashauri ucheki immunity
Naomba utambue kwamba matumizi ya antibiotics yanashusha sana immunity na mwili wako ukawa unapata sana fungal attacks.
OTIS
Thanks,sasa napima nini kuhusu hiyo immunity?
pole sana kwa yaliyokusibu!
SURUHISHO LAWEZA PATIKANA.
rafiki kama unaweza jaribu kuwasiliana na wataalamu wa Kampuni ya TIENS, kwani huwa wanavirutubisho na pads kwa tatizo kama hilo.
kama hutojali, nieleze uliko nitakuelekeza office zilizokaribu nawe, au vist: www.tiens.com, www.aftiens.com or contact me via 0755569494 or email: ruhazwentaki@yahoo.com