Vacancy: Part Time Job

Vacancy: Part Time Job

damcon

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2011
Posts
214
Reaction score
72
Nina Tafuta mzoefu wa kujaza Tender Documents za taasisi za serikali,awe ameajiriwa/mstaafu nitamilipa per document. Itakuwa kama part time kwake.

Mawasiliano yangu ni:

+255652715232

(chriss@equpointproperty.co.tz)
 
Ndugu yangu unamtafuta mwajiriwa au mstaafu wakati graduate wapo mtaani hawana kazi? Toa kazi kwa vijana ndugu na mungu atakubariki
 
Ndugu yangu unamtafuta mwajiriwa au mstaafu wakati graduate wapo mtaani hawana kazi? Toa kazi kwa vijana ndugu na mungu atakubariki

Sure! Na kama hofu yake ni ufanisi elimu ya hiyo kitu (documents) itachukua mda gani mtu kuielewa? Think again mkuu.
 
Nina Tafuta mzoefu wa kujaza Tender Documents za taasisi za serikali,awe ameajiriwa/mstaafu nitamilipa per document. Itakuwa kama part time kwake.

Mawasiliano yangu ni:

+255652715232

(chriss@equpointproperty.co.tz)

unataka kuwin tender, ee we jitahidi utimize masharti yote
 
wape chance vijana wapo weng tu mkuu kuliko wastaafu itakuwa vizuri
 
Sure! Na kama hofu yake ni ufanisi elimu ya hiyo kitu (documents) itachukua mda gani mtu kuielewa? Think again mkuu.

yupo sawa, vijana macho juu juu bado katika soko la ajira. wakipigiwa simu za interview tu docs zinawekwa kando.
 
Back
Top Bottom