Ndio hapo Sasa........Ni meja wa jeshi la nchi gani...??
Mkuu.....
Kwahiyo huyo kijana aliye vaa jeans iliyo chanika ndio meja..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nasimuliwa hapa kwamba eti huko Daslam kuna kitu kinaitwa singeli eti nao ni muziki





Mwambie huyo Meneja bado tupo na Mjomba POMPEO sisi hawajatutoa kwenye reli bado, huyu ni Dab tu najua katengeneza kiki hii.
Jeshi la nyampande sengelemaNi meja wa jeshi la nchi gani...??
Mkuu.....
Kwahiyo huyo kijana aliye vaa jeans iliyo chanika ndio meja..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia unaumiza kijachoFeelings hazijali ni nani kwako ndio ulie!!! Watu wanazimia kabisa sembuse kulia tu
Siku hizi ukifika cheo cha meja, huwekewi vyeo begani Bali wanachana suruali yako magotini.Ni meja wa jeshi la nchi gani...??
Mkuu.....
Kwahiyo huyo kijana aliye vaa jeans iliyo chanika ndio meja..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi ukifika cheo cha meja, huwekewi vyeo begani Bali wanachana suruali yako magotini.
Ndio maana mameja wengi ni waendesha bajaji na waimba sengeli.
Sent using Jamii Forums mobile app




bila kusahau na mabodaboda nao ni mamejaMkuu Ushimen huyo ni meja wa jeshi la nchi ya kuntaNi meja wa jeshi la nchi gani...??
Mkuu.....
Kwahiyo huyo kijana aliye vaa jeans iliyo chanika ndio meja..!!
Sent using Jamii Forums mobile app



Sasa ilikuwaje meneja akasema msanii wake amefariki?Hahaha, aisee!
Ndiyo maana jana sikuguswa kabisa na hizo taarifa, itakuwa sababu ilikuwa hii.
cc Cresida, msanii wako kafufuka.