Uzushi dhidi ya Mwl.Kashindye-Igunga

chadema imekufa tayari, si kashndye, mbowe, au mtu yeyote atakayeweza kukiokoa chama hiki. Hii ni natural death hamna wa kuzuia
 
ACT kweli ni mafundi wa kununua makamanda wa chadema wamekosa kosa kumnunua diwani wa kata ya ISEKE kupitia chadema Bw.Emmanuel J.Jingu hela ni za ccm au act.

ni za watanzania zilizo kwapuliwa kutoka benki kuu na majambazi makuu ccm...
 
chadema imekufa tayari, si kashndye, mbowe, au mtu yeyote atakayeweza kukiokoa chama hiki. Hii ni natural death hamna wa kuzuia

utakufa wewe na mama yako kwanza kisha atakufa abaefondoka jukwaani....
 
sawa kabisa binafsi nimeshangaa taarifa hizo aliye zileta amazitoa wapi, hapa igunga sijasikia kitu kama hicho, btw kuna viongozi wa cdm inabidi wapumzishwe,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…