Kwa bahati nzuri uwepo wa Maafisa Wa ICC katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 Tanzania, wakiangalia kwa karibu mno wavunjaji wa haki za Binaadamu ili kuweza kushitakiwa katika Mahakama za Kimataifa hii ni ishara mbaya kwa afisa yoyote wa vyombo vya usalama atakaejaribu kutii amri za uvunjaji wa haki za binaadamu kutoka kwa Viongozi wenye uchu binafsi wa Madaraka, na ishara njema kwa Wapenda mabadiliko.