Kig JF-Expert Member Aug 13, 2012 1,076 456 Aug 13, 2012 #1 Wadau naomba mnijuze uzuri na ubaya wa gari aina Toyota Vitz. vigezo muhimu vikiwa, ulaji wa mafuta, upatikanaji wa spea na gharama za spea, ugumu wa body yake, matatizo ya kiufundi nk mengine mengi
Wadau naomba mnijuze uzuri na ubaya wa gari aina Toyota Vitz. vigezo muhimu vikiwa, ulaji wa mafuta, upatikanaji wa spea na gharama za spea, ugumu wa body yake, matatizo ya kiufundi nk mengine mengi