Mwanagandila
Senior Member
- Oct 9, 2011
- 182
- 100
Sina ugomvi na hao wasanii but hayo matusi wanayomwaga ... kah nimewashusha thamani... hiphop sio matusi ... kawape taarifa hao vinega , na pia mkubali wa tz ni mashabiki wa bongo flava, bongo flava zipo juu ea, nenda Kenya kaulize who is alikiba, alafu waulize soggy mnamfahamu...? hivi ruge pia ana nguvu hadi radio za huko Kenya ...
mh! kwani hawana???wanayo bana!!mimi sio sugu na wala sio msanii bt nasapport movement nachukizwa na ujinga wa clouds kujifanya wana haki miliki ya mziki bongo
Sidhani kama Anti Virus lengo lake pekee ni kuhusu kubaniwa na clouds....funguka! This is Hip Hop...if a nigga does s'thing to you unamchana...hip hop is all about battling...Watakuja wapenda matusi...inaonesha hata hiphop hawaijui,tangu ln mixtape ikawa na uznduz?kama co sugu anataka kuwadhurumu wenzie!kwa nn vinega wote hawana elimu?kwa nin vinega wote wamepotea kwny game?kam wanabbniwa na clouds,kwa nin nymbo zao hazpgw redio nyngne?niambie n nymb gan katka hyo mixtape inafaa kupgwa kwny teleshen ya taifa?niambie n nymbo gan ktk hyo mixtape inaweza kupendwa na watu makn kama zito au prof.shivji?...tar26 naenda kumchek m2 mzima DMX..Et Antivirus? Soggy dog =magamba..sugu = magamba..wu z virus sugu o soggy?
mh! kwani hawana???wanayo bana!!
wanayo haki gani?
kama msanii akidai haki zake wanampotezea na kumbanai nyimbo zake hao si wauaji?
mfano msanii wa kike PIPI ya Mint wa THT mwaka jana alipojitoa katika hilo kundi walaiacha kupiga nyimbo yake yoyote mpaka binti alipoomba kurudi upya kundini, so wanataka wanyenyekewe..
SUGU alikuwepo kabla ya WAFU FM na alikataa pia kutawaliwa na wafu fm kitu hicho ndio kilichomsaidia kupata mafanikio, na kama wakumbuka SUGU amekuwa ni mtetezi wa haki na mwanaharakati toka 1995 sasa harakati hizo sasa ndio anaelekea kufanikiwa kwa kuwasaidia wasanii wengine pia!!
dhuluma sasa basi,wamewapoteza wasanii wengi sana katika ramani kisa hawakuwa tayari kwenda nao sawa na matakwa yao
Ngwair,
Bushoke,
Q Chillah
Ray C,
Vumi wa THT
BUIBUI,
WAGOSI,
Mapacha
Danny Msimamo
nk...wako wengi tu
hacha uwongo ww ni redio gani rugre ana nguvu hapa kenya,,nitajie na mmliki wakeSina ugomvi na hao wasanii but hayo matusi wanayomwaga ... kah nimewashusha thamani... hiphop sio matusi ... kawape taarifa hao vinega , na pia mkubali wa tz ni mashabiki wa bongo flava, bongo flava zipo juu ea, nenda Kenya kaulize who is alikiba, alafu waulize soggy mnamfahamu...? hivi ruge pia ana nguvu hadi radio za huko Kenya ...
poor adverts up to now!! Kama wanataka iwe big show lazima wapige kampeni ya nguvu tena sasa! Huku uswazi wasio kwenye net hawajui lolote!!
uckonde sugu 2takuwa pa1 bamaga,pale ustawi wa jamii,,,siendi ng'o kwenye show yao ya wafu,,,
Wadau na mashabiki wote wa muziki bongo muziki unalipa tukutane viwanja vya chuo cha ustawi wa jamii bamaga k'nyama tar 26/11/2011 kuanzia saa 12 kiingilio sh 5000 wasanii kibao sugu mkoloni mapacha dan msimamo adili LWP mabaga fresh soggy doggy big doggy pouse mazese crew peenlawyer. Wakiongoza na dj JD ,majizo, BBG. big stage big sound kutoka ENTARTIMENT MASTERS hii si ya kukosa ANTIVIRUS WITH NO APOLOGY
poor adverts up to now!! Kama wanataka iwe big show lazima wapige kampeni ya nguvu tena sasa! Huku uswazi wasio kwenye net hawajui lolote!!
hao clouds wanyonyyaji sana imetosha sasa hatuwaogopi tunataka mafanikio na sio wao ndo wanufaine tunataka tuisaidie jamii kuna msanii gani aliyeenda kusaidia yatima tatizo hawana hela ni muda wa kujikomboa sasa
Pamoja sana mdau mm mwenyewe si msanii bt napenda wasanii wetu wafanikiwe miaka 10 ya hao clouds wanayosema wamesaidia sanaa wasanii wananini zaidi ya kununua jeans na kupanga vyumba tu hivi kama msanii anazidiwa ghafla anaweza kwenda hata india au europe kutibiwa au hata kuwa na pesa ya kusaidia jamii kama walemavu au wazee ni muda wao sasa kama wasanii wa nigeria waligoma kwa mapromota kuimba kwenye shoo ya 50 cent na leo wanalipwa vizuri iweje bongo huyo ruge ni mnyonyaji na sasa wakina kanumba wamemfukuza kwenye filamu
hao clouds wanyonyyaji sana imetosha sasa hatuwaogopi tunataka mafanikio na sio wao ndo wanufaine tunataka tuisaidie jamii kuna msanii gani aliyeenda kusaidia yatima tatizo hawana hela ni muda wa kujikomboa sasa
Greater Thinker kwanza yaonekana una xmass mbili tu hapa jijini, na suala la burudani hulijui wewe,
Wasanii waliojiunga na kuunda kundi la Vinega, ndio wasanii waliofanya mapinduzi ya mziki huu mpaka ukakubalika nchini,
unawajua Bantu Poung Gangstar wewe? Dar Young MOBB?Diplomatiz? hao ndio wakali wa mziki nchini na leo hii wapo na mishe mishe zao nyingine za maisha ila ndo wanaomsapoti SUGU na vinega..
Sugu na hao jamaa walianza kuhit 1995 je Radio ya Wafu ilikuwepo?
Sugu hajawahi fanya biashara na Wafu fm lakini ndio msanii mwenye mafanikio kuliko wote, ndio msaani wa kwanza wa kizazi kipya kwenda kufanya shoo nje ya nchi, kuuza album yake mwenye bila wahindi wala usimamizi wa RUGAY, kureodi na kufanya mixing mbele..
sasa hao unaowatete wanaenda kwa DMX na FABOLOUS wana mafanikio gani katika maisha yao?
wanayonywa lakini kwa uoga wao bado wanajipendekeza, Lady JD, Ray C unajua kwa nini walijitoa Smooth Vibes?
wewe bado sana kijana, tuachie wenye medani yetu, wewe umetumwa na RUGAY kuleta thread za kifala humu, ooh THT wamerudi bongo inahusu nini humu?
kama kweli wanawajali wasanii niambie waanzailishi wa THT wako wapi?
Pouwa! Nilimwambia peenlawyer nataka t-shirt nyeupe ya anti virus coz ile nyeusi nimeshaivaa sana kwa gharama yoyote, bado sijapata bana! na namkumbusha kila siku na naomba umwambie bado namkumbusha! asinipe sababu ya kukosa tamasha siku hiyo!
Mbali na hayo Naunga mkono hoja!
Duh! mkuu una data ! haya bana! Naunga mkono hoja!