Toa details hata tengeneza new mail.Namtafuta rafiki yangu wa kitambo sana aitwae Abdul Majid Mohammed, tangu nahama shule darasa la 4 sijaonana nae tena mpaka leo tushakuwa watu wazima.
Ndio Mkuu, nilijua ni Serengeti boy.Ulifikiri ni kijana mdogo e
Wengine wameshaolewa tayari na makomandoo mtavunjwa mataya jamani miaka yote hiyo?unapotezea tu...imeisha hiyo...
Namtafuta sister angu mmoja anaitwa eveta tulikuwa tunakaa wote manzese beston alimaliza Baptist secondary mwaka 2006 mara ya mwisho alisema anaenda Arusha
Mkuu alikupa nn huyo dada siku hyo mpaka kumbukumbu iwe ngumu kupoteaDaaaa nakutafuta sana Agnetha Pambe...Rafiki tulikutana kwa Bus akitokea Tanga kwenda Arusha...kwa Safari ya Mwanza 2008.Aliniambia Kwao ni Nyakato /Buzuruga,Mwanza.Alitoka kusoma Ualimu Mkoani Tanga ...Kumbukumbu yako imekuwa ngumu kupotea.
Huyo pelaga kuolewa na mwanangu ni engineer mgodi flan mbeyaMimi namtafuta Mysara wangu, binti wa kisandawe popote ulipo nimekumiss.
Mara ya mwisho tulionana 1996.
Namtafuta house girl wetu mwaka 1991 - Pelaga binti wa kihehe.
Popote ulipo nimekumiss.
Plz kama upo humu njoo inbox.
Wasiliana na Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula kwenye Facebook yake.Nawatafuta form 4 leavers wote wa Tabora boys mwaka wa 1992 na wale waliosoma azania 1989-1990 form 1&2.
Kuwa mpole mzeiya kuna watu wazima humu ndani kuliko kawaidaNdio Mkuu, nilijua ni Serengeti boy.
Usimuamini Mshana.Umri umesogea ndugu yangu
Tulikutana tu ktk alakati za MaishaUnamfaham kivi
Sawa Mkuu.Itabidi niwe tu mpole.Kuwa mpole mzeiya kuna watu wazima humu ndani kuliko kawaida
Usishangae hapo anayetafutwa ni mmoja tu ila hao wengine wanamblanketi mlengwaSi ajabu kati yao hao ni member humu ila hawawezi lujitokeza kutokana na anonymity ya JF
Anyway namtafuta Flaviana Mbeya.. Mara ya mwisho kuonana ilikuwa 1982
Dah,,Huyo pelaga kuolewa na mwanangu ni engineer mgodi flan mbeya
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Feruzi!? Ni mwanamke kwa vipi? Au ulikuwa unamakengeza? Feruzi?!Nawatafuta marafiki zangu wa kike niliosoma nao shule ya Vidudu Sengerema kwenye mwaka 90/91. Wakwanza anaitwa Nyamisana na wa pili anaitwa Feruzi.
Huyu Nyamisana sura yake haijanitoka bado kwa vile alivyokuwa mzuri. Alikuwa na matuyuyu (dimples), basi muda wote akicheka, mashavu yalikuwa yanabonyea. 💃
Huyu Feruzi alikuwa na maneno mengi. She was a kind of girl who would never run out of things to say.
Alikuwa binti mwenye story mingi sana. Kila siku alikuwa akinipa story mpya!
Pia mshikaji wangu anayeitwa Cleofas Bukta naye tulisoma wote Nursery ya Misheni kule karibu na kanisa la Roman au Rambo la mzungu.