No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,749
Katika vikao vyetu mbalimbali tunavyokaa huwa tunapitisha miswada mbalimbali ila bado naona kuna baadhi ya wenzetu wanatuangusha. Sasa miswada yetu tuliyokubaliana tutaiweka hapahapa ili haya mambo yasiwe yanajirudia:
1. Mwanaume kuomba ushauri baada ya kumfumania mwenza wako hii usituletee hapa
2. Mwanaume kukimbia baada ya kumjaza mtoto wa watu ujauzito sisi hatuna ushauri.
3. Mwanaume kulialia demu wako amekuacha Aisee mmalizane hukohuko kama utajinyonga utajua mwenyewe.
4. Mwanaume unampenda demu halafu eti unaomba ushauri umuanzaje na wakati pesa unayo, usituletee hapa
5. Mwanaume unalala na mwanafunzi mpaka unamtia mimba halafu unashindwa ufanye nini unakuja kutusumbua hapa, acha uoga miaka 30 sio mingi we nenda tu gerezani na huko kuna binadamu kama wewe.
1. Mwanaume kuomba ushauri baada ya kumfumania mwenza wako hii usituletee hapa
2. Mwanaume kukimbia baada ya kumjaza mtoto wa watu ujauzito sisi hatuna ushauri.
3. Mwanaume kulialia demu wako amekuacha Aisee mmalizane hukohuko kama utajinyonga utajua mwenyewe.
4. Mwanaume unampenda demu halafu eti unaomba ushauri umuanzaje na wakati pesa unayo, usituletee hapa
5. Mwanaume unalala na mwanafunzi mpaka unamtia mimba halafu unashindwa ufanye nini unakuja kutusumbua hapa, acha uoga miaka 30 sio mingi we nenda tu gerezani na huko kuna binadamu kama wewe.