Uzi kwa mitandao yote ya simu na TCRA

Vogoso

Member
Mar 23, 2019
44
43
Ukienda kutoa copy ya kitambulisho cha uraia na wakakwambia imetoka bila rangi au wamekosea, usiziache hizo kopi, uondoke nazo hata kama haziko vizuri. Kwa sababu huwa wanaziuza kwa wezi na kuzitumia kutengeneza line mpya kwa majina yako na kufanyia uhalifu kitu ambacho kinaweza kukuletea kesi

Ujumbe huo umekamata headline kwenye mitandao ya kijamii.

Nafikiri kuna umuhimu wa kampuni za simu ziweke huduma mteja wa simu awe na uwezo wa kuangalia namba za simu zote zilizosajiliwa kwa jina lake.

Lete ushauri wako!
 
Sio hilo tu.

Wasajilini wa mitaani au kwenye vibanda tuwe nao makini.

Kuna binti alisajili laini yake na Kila akiweka Dole, msajili anasema imegoma kusoma. Tukio Hilo lilitokea zaidi ya Mara 6. Mwisho ndio ikakubali. Hakuwa peke yake alikuwa na watu wengina Kama watano hivi. Baadhi yao walikuwa na kitambulisho Cha uraia wengine hawana.

Kutaharuki lile kundi la watu watano alikuwa nalo kujisajili laini likiwa halina kitambulisho. Wote walisajiliwa kutumia kitambulisho Cha yule msichana.

Pale alipokuwa akisema imegoma kusoma kumbe tayari kashasajiliwa mtu.

Hilo lilijulikana baadae baada ya yule binti kumuona msichana wake wa kazi ambaye alikuwa miongoni mwa like kundi anayisha naye kumuona ana laini iliosajiliwa wakati hana kitambulisho, alipo jaribu kuangalia amesajili kwa jina gani akakuta jina lake ndio lilotumika.

Nafikiri Kuna umuhimu wa makampuni ya simu wakishirikiana na TCRA waweke huduma ya mtumiaji kuweza kuangalia laini zilizotumia majina yake/ namba ya kitambulisho chake Cha NIDA kusajili laini za simu.
 
Hilo lilijulikana baadae baada ya yule binti kumuona msichana wake wa kazi ambaye alikuwa miongoni mwa like kundi anayisha naye kumuona ana laini iliosajiliwa wakati hana kitambulisho


Huyo msichana wa kazi alitoa rushwa ya aina gani kwa msajili wa line?

Je waliotengeneza mfumo hawakuliona hilo?
 
Mi naona unachanganya habari, finger print inakubalije kwa jina zaidi ya moja???
Mfano ukifika Airtel kutoa kitambulisho cha Uraia Mfano: jina Hilda Sheiza wakaliingiza kwenye system zao ukapunch inawezekanaje aje mwingine asajili tena system ikubali????
Maelezo yako hayajakaa sawa japo unaonekana ukiyanyoosha na kua na FACTS una valid point!!
 
Ukienda kutoa copy ya kitambulisho cha uraia na wakakwambia imetoka bila rangi au wamekosea, usiziache hizo kopi, uondoke nazo hata kama haziko vizuri. Kwa sababu huwa wanaziuza kwa wezi na kuzitumia kutengeneza line mpya kwa majina yako na kufanyia uhalifu kitu ambacho kinaweza kukuletea kesi

Ujumbe huo umekamata headline kwenye mitandao ya kijamii.

Nafikiri kuna umuhimu wa kampuni za simu ziweke huduma mteja wa simu awe na uwezo wa kuangalia namba za simu zote zilizosajiliwa kwa jina lake.

Lete ushauri wako!
Usajiri mwingi ni faida kwa makampuni, hayo mengine ni ya polisi.
 
Mi naona unachanganya habari, finger print inakubalije kwa jina zaidi ya moja???
Mfano ukifika Airtel kutoa kitambulisho cha Uraia Mfano: jina Hilda Sheiza wakaliingiza kwenye system zao ukapunch inawezekanaje aje mwingine asajili tena system ikubali????
Maelezo yako hayajakaa sawa japo unaonekana ukiyanyoosha na kua na FACTS una valid point!!
Binti1: una fahamu ya kuwa unaweza sajilini laini zaidi ya Moja kwa kitambulisho kimoja?
 
Waweke mfumo kitambulisho hakiwezi sajili namba zaidi ya 1. Kila mtu abakie na namba yake hiyo hiyo hadi akifa
 
Ukienda kutoa copy ya kitambulisho cha uraia na wakakwambia imetoka bila rangi au wamekosea, usiziache hizo kopi, uondoke nazo hata kama haziko vizuri. Kwa sababu huwa wanaziuza kwa wezi na kuzitumia kutengeneza line mpya kwa majina yako na kufanyia uhalifu kitu ambacho kinaweza kukuletea kesi

Ujumbe huo umekamata headline kwenye mitandao ya kijamii.

Nafikiri kuna umuhimu wa kampuni za simu ziweke huduma mteja wa simu awe na uwezo wa kuangalia namba za simu zote zilizosajiliwa kwa jina lake.

Lete ushauri wako!

mnaposajiri laini hawachukui alama za vidole gumba?
 
Mi naona unachanganya habari, finger print inakubalije kwa jina zaidi ya moja???
Mfano ukifika Airtel kutoa kitambulisho cha Uraia Mfano: jina Hilda Sheiza wakaliingiza kwenye system zao ukapunch inawezekanaje aje mwingine asajili tena system ikubali????
Maelezo yako hayajakaa sawa japo unaonekana ukiyanyoosha na kua na FACTS una valid point!!
Je mtu mmoja hawezi kumiliki line 2 au tatu za mtandao mmoja! Kwa kutumia kitambulisho kimoja!?
Tuanzie hapo!
 
Je mtu mmoja hawezi kumiliki line 2 au tatu za mtandao mmoja! Kwa kutumia kitambulisho kimoja!?
Tuanzie hapo!
Mm namiliki line mbili za mtandao mmoja Tena nmezisajili zote kwa njoa ya Alama za vidole

Niliwauliza watoa huduma wa mtandao husika wakaniambia naweza ndio na mm nikasajili
 
Mm namiliki line mbili za mtandao mmoja Tena nmezisajili zote kwa njoa ya Alama za vidole

Niliwauliza watoa huduma wa mtandao husika wakaniambia naweza ndio na mm nikasajili
Kama ni hivyo tuwe makini na vitambulisho tunapo sajili line! Unaweza kuta ushamsajilia Kigogo214!
 
Sio hilo tu.

Wasajilini wa mitaani au kwenye vibanda tuwe nao makini.

Kuna binti alisajili laini yake na Kila akiweka Dole, msajili anasema imegoma kusoma. Tukio Hilo lilitokea zaidi ya Mara 6. Mwisho ndio ikakubali. Hakuwa peke yake alikuwa na watu wengina Kama watano hivi. Baadhi yao walikuwa na kitambulisho Cha uraia wengine hawana.

Kutaharuki lile kundi la watu watano alikuwa nalo kujisajili laini likiwa halina kitambulisho. Wote walisajiliwa kutumia kitambulisho Cha yule msichana.

Pale alipokuwa akisema imegoma kusoma kumbe tayari kashasajiliwa mtu.

Hilo lilijulikana baadae baada ya yule binti kumuona msichana wake wa kazi ambaye alikuwa miongoni mwa like kundi anayisha naye kumuona ana laini iliosajiliwa wakati hana kitambulisho, alipo jaribu kuangalia amesajili kwa jina gani akakuta jina lake ndio lilotumika.

Nafikiri Kuna umuhimu wa makampuni ya simu wakishirikiana na TCRA waweke huduma ya mtumiaji kuweza kuangalia laini zilizotumia majina yake/ namba ya kitambulisho chake Cha NIDA kusajili laini za simu.
Hapo kwenye dole nadhani hiyo huwa inatokea.

Bila kuhusisha na tukio hilo mimi mwenyewe ilinitokea kwenye ofisi ya Tigo...sitaki kuamini kama wanaweza kufanya uhuni huo kwenye ofisi rasmi ya mtandao wa simu, nakumbuka niliweka dole mara kadhaa akawa ananiambia inakataa, na kajamaa kenyewe kalikuwa kabishoo hivi alinipa hasira sana nikampa maneno nakaamua kuondoka.

Wiki moja baadae ndio nilienda ofisi nyingine nikasajili bila tatizo lolote.
 
Dear fundi25 na Vogoso my educated guess tells me finger prints are unique....yani hazifanani hata kidogo.Yani hata Mapacha kila mtu ana yake. (I stand to be corrected)
If that is the case ina maana machines zinatakiwa zioanishe jina na print ya mtu because yule mtu hata akiwa na line 6 atasajili kwa kitambukisho kimoja na taarifa zinakaa kwenye data base. Again nadhani hili ndio nilikua lengo hasa la serikali ku establish "fingerprint registration "
Ndo maana hainiingii akilini kwamba watu watano wanaweza kusajili line zao kwa kitambulisho kimoja wakati fingerprint ni tofauti!!!
Kwa argument yangu hiyo labda mada inge-question "credibility" ya kampuni za simu ma mashine zao wanazotumia kusajili!!

Umeshawahi ku chukuliwa alama zako za vidole polisi???Kama umeshawahi/ana hujawahi ni kwamba zile fingerprint zinakua saved and shared kwenye data base ya polisi na zinaweza kua accessed popote duniani (nadhani wanamtandao wao Interpool maybe-sina uhakika) popote unapofanya uhalifu wakichukua finger print hata kama upo Ulaya wanazipata.
Kwa kifupi madhani hilo ndio lengo la kusajili line za simu.
Itakua haina maana kama hicho wanachofanya mtu yoyote anaweza ku kusajili kwa kitambulisho cha mwingine na ika accept.
Tuelimishane zaidi.
 
Binti1: una fahamu ya kuwa unaweza sajilini laini zaidi ya Moja kwa kitambulisho kimoja?
acha uongo..... utasajili hata line 4 kwa kitambulisho kimoja lakini ikifika disemba 31 lazima ukamatwe ukajieleze..... JIONE MJANJA SASA LAKINI IPO SIKU UTALIA NA KUJAMBA.
 
Eeewe uloanzisha uzi wa uongo hebu fikiria.

Huwezi sajili kwa namba za mwingine.
Pia ili wakala asajili lain nyingi ni lazima wewe mhusika uwepo
 
Back
Top Bottom