Uza Land cruiser Hj75 pick up

Uza Land cruiser Hj75 pick up

Dafugwadu

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2012
Posts
4,733
Reaction score
5,251
Inahitajika gari tajwa hapo juu iwe inatumia Battery moja na ambayo imeshatumika hata hapa Nchini Engine iwe haijawahi kushushwa na isiwe kimeo karibuni.
 
Niaje mkuu! Hiyo ni hzj ambayo ni # ya chases ya hyo cruiser.
Kingine funguka zaidi khsu spec ya hyo cruiser mfano aina gani ya engen inatakiwa na Taja offer ya bei ya kununua!
 
Niaje mkuu! Hiyo ni hzj ambayo ni # ya chases ya hyo cruiser.
Kingine funguka zaidi khsu spec ya hyo cruiser mfano aina gani ya engen inatakiwa na Taja offer ya bei ya kununua!

Ofa nipe wewe ila Engine ni 1hz mkuu.
 
Duh!! Ofa yangu ni 25 mwisho kabisa 27 mrangi.

Nmeku pm swali lingine hizi gari ziko aina mbili kna moja inakuja na lif spring mbele na nyuma
Na kuna ingine mbele ina coil spring na nyuma ona lif spring, ipi kati ya hiyo
 
Nmeku pm swali lingine hizi gari ziko aina mbili kna moja inakuja na lif spring mbele na nyuma
Na kuna ingine mbele ina coil spring na nyuma ona lif spring, ipi kati ya hiyo

Nimeiona pm yako na nimekupa no zangu hiyo ya pili yenye lif na coil spring haswa ndio inahitajika.
 
Hiyo ni hzj79r. Siyo kama uliyo kuwa unaitaka ya hzj75.
 
Back
Top Bottom