Uwezo wa gari kukimbia angalia RPM sio KMH

Mhhh
RPM vs Speed, vina uhusiano lakini sio kama unavyoeleza
Spidi ni ile ile regardless ya RPM
Isipokuwa RPM inahusianisha spidi na vitu vingine, mfano acceleration, fuel consumption, horse power....
Mfano gari X inaweza kufika speed 100 kwa rpm 2, wakati gari Y unahitaji RPM 2.5 kufika spidi hiyo, lakini zote ni speed 100...
Mada ndefu, nikomee hapo
 
Kuna kitu mtoa mada mmeshindwa kumuelewa japo mmkembilia ujuwaji msiojua.
Anaposema RPM na KMH basi kiwango kikubwa kinachoangaliwa kwenye kusuma KMH ni RPM ndio maana dash ya speed zote zinaweza kuwa sawa ila ikakupita.
Kuna siku ilishwai shindanishwa tesla na bugat.
Kilichokuwa akiangaliwi speed je RPM zinapishana vipi.
Ila ukiwa mjinga tanzania ndio ili, watu kubisha wasichokijua.

Mrudi mashuleni mda mwengine ndo nyie hata kufanya utafiti mnakuja na kende zenu kufikiria.
Jamaa yupo sawa labfa ufikishaji wazoView attachment 2522972
Hiyo telsa itafanya mbwembwe zooote atlast ita chapwa kama imesimama! Inawahi kuchanganya ila top speed ni ndogo kwa huyo mkali wake
 
RPM kwenye gari inataja mizunguko ya fito kombo (crank shaft) ndani ya injini kwa dakika moja. Hakuna uhusiano wa moja kwa moja na kasi maana inategema gia. Ukiwa gia ya kwanza unaweza kuzungusha injini yako kwa RPM 5000 na bado unatembea labda kwa 30 km/h, ila ukiweka gia ya nne au ya tano kasi yako itakuwa zaidi ya 100 km/h ukienda kwa RPM 5000.
Kila injini huwa na upeo wake wa RPM, injini ndogo mara nyingi zimepangwa kwenda hadi 6-7000 RPM lakini injini kubwa (kama siyo racing car) huzunguka hadi 4000 / 5000 RPM. Kwa kawaida injini hudumu muda mrefu isipoendeshwa kwa RPM za juu, Kwa hiyo magari ya kawaida, RPM 2000 - 3000 ni vema. Pia matumizi ya mafuta ni juu ukitumia RPM za juu mara kwa mara.

fito kombo
Kumbe crankshaft kwa kiswahili inaitwa Fito kombo?
Aiseeh
 
130hp then ufike 260Kph..!!!?
Sio rahisi aisee.. Actually Haiwezekani..
Kumbuka IST ina 150hp..

Dashboards zinabandikwa tuu..
518i
520i
525i
530i
535i
540i
Zote dashboard inasoma 260kph..ila hazina uwezo sawa..!
Mkuu, fanya home work yako vizuri
 
Unachokiongea ni kweli kabisa
Ukiona gari ya hp hizo ndogo inafika speed hiyo basi ujue hiyo gari iko tuned
Yaan people don't know how number of gears zina determine engine rpm na top speed attainment.

Hizi gari unazoona zina top speed kubwa huku cc ndogo na horse power ndogo ujue number of gears ni nyingi..mfano most normal automatic cars zipo na gear nne except for cvt cars..pia ujue RPM ya engine vs speed output inaweza visiendane kama kuna shida ya transmission system yako mfano (transmission fluid kuchoka, transmission fluid kutokua sahihi, transmission clutches kuchoka, tire pressure, tire size, weight, terrain) ..so kama gari ina gearbox nzuri, it will always keep the engine at low rpm huku speed ikiwa juu ndo maana Gari yenye CVT transmission utaona rpm inakua chini huku speed ipo juu..mfano. Toyota crown inafika speed ya 100 huku rpm 1.5, wakati speed hii. Kwenye brevis yenye normal ATF transmission ina attain same speed but at higher RPM ie 2.5 RPM...so hapa hata fuel consumption inakua tofauti pia.

Pia why nasema transmission system ina play role kubwa kwenye engine rpm na speed output..ni hvi mfano automatic gearbox zinazotumia fluid..ukiweka fluid isiyo sahih, au fluid imechoka, maana yake inasababisha power loss nyingi kati ya engine na gearbox so engine has to work harder to compensate for power loss inayotokana na transmission system kutofanya kazi vizuri kazi yake...so gari hapa itakua inatembelea kwa rpm ya juu huku speed ikiwa chini..but kwa gari zisizo na power loss kati ya transmission na engine mfano kwa gari za manual, hybrid cars, na cars with DSG (direct shift gearbox) or DCT(dual clutch transmission gearbox), hizi gari gear box hazina power loss yoyote kama clutch zitakuapoa...so hapa rpm itakua chini na attainment ya higher speed inakua ni faster....but shida tu labda gari iwe na low gear gear ratio kama land cruiser hardtop..hii hard top ipo na gear ratio ndogo so gari inatembelea rpm ya juu muda mwingi..

Pia speaking of speed kuna gari zinakua limited kwenye top speed kutoka huko zililotoka kulingana na soko gari inapokwenda..mfano gari nyingi zinazokua designed kutumika soko la japan nyingi uishia speed 180.. but same car iliyo designiwa kutumika soko la ulaya utakutA top speed ni 200+( unakuta vitz ya japan speed ni 180 but same vitz kwa soko la ulayA (kwajina la YARIS but same engine na gearbox inAenda top speed 200... Therefore uki tune gari pia unaweza ukaondoa speed limit na kuvuka top speed ya 180kmh.

Therefore jaman
 
Yaan people don't know how number of gears zina determine engine rpm na top speed attainment.

Hizi gari unazoona zina top speed kubwa huku cc ndogo na horse power ndogo ujue number of gears ni nyingi..mfano most normal automatic cars zipo na gear nne except for cvt cars..pia ujue RPM ya engine vs speed output inaweza visiendane kama kuna shida ya transmission system yako mfano (transmission fluid kuchoka, transmission fluid kutokua sahihi, transmission clutches kuchoka, tire pressure, tire size, weight, terrain) ..so kama gari ina gearbox nzuri, it will always keep the engine at low rpm huku speed ikiwa juu ndo maana Gari yenye CVT transmission utaona rpm inakua chini huku speed ipo juu..mfano. Toyota crown inafika speed ya 100 huku rpm 1.5, wakati speed hii. Kwenye brevis yenye normal ATF transmission ina attain same speed but at higher RPM ie 2.5 RPM...so hapa hata fuel consumption inakua tofauti pia.

Pia why nasema transmission system ina play role kubwa kwenye engine rpm na speed output..ni hvi mfano automatic gearbox zinazotumia fluid..ukiweka fluid isiyo sahih, au fluid imechoka, maana yake inasababisha power loss nyingi kati ya engine na gearbox so engine has to work harder to compensate for power loss inayotokana na transmission system kutofanya kazi vizuri kazi yake...so gari hapa itakua inatembelea kwa rpm ya juu huku speed ikiwa chini..but kwa gari zisizo na power loss kati ya transmission na engine mfano kwa gari za manual, hybrid cars, na cars with DSG (direct shift gearbox) or DCT(dual clutch transmission gearbox), hizi gari gear box hazina power loss yoyote kama clutch zitakuapoa...so hapa rpm itakua chini na attainment ya higher speed inakua ni faster....but shida tu labda gari iwe na low gear gear ratio kama land cruiser hardtop..hii hard top ipo na gear ratio ndogo so gari inatembelea rpm ya juu muda mwingi..

Pia speaking of speed kuna gari zinakua limited kwenye top speed kutoka huko zililotoka kulingana na soko gari inapokwenda..mfano gari nyingi zinazokua designed kutumika soko la japan nyingi uishia speed 180.. but same car iliyo designiwa kutumika soko la ulaya utakutA top speed ni 200+( unakuta vitz ya japan speed ni 180 but same vitz kwa soko la ulayA (kwajina la YARIS but same engine na gearbox inAenda top speed 200... Therefore uki tune gari pia unaweza ukaondoa speed limit na kuvuka top speed ya 180kmh.

Therefore jaman
Hata uwe na gia 100..
Huwezi kufika spidi fulani bila HP za kutosha..

Rpms kuwa chini ✅
Top speed attainment❌
Gari ya 6 gears.. Hata kwenye 5th gear ninafika top speed..
Ila top speed kwenye 5th na 6th gear zitapishana rpms..!
6 gear sio inaniongezea speed.. Ni overdrive..!
 
Ni Toyota..
Reliable..
Kaa mbali na 1ZZ engine..
Tafuta 2ZZ engine.. Hii ni combination ya Toyota na Yahama.. Combination yao huwa inatoa engines zenye mlio tamu kwenye masikio..
Ukumbuke kuiendesha umeshusha vioo..
Zz mbona ni engene mbovu sana mzee ni engene flan ndogo naweza kusema hazipushan sana na Az
 
Zz mbona ni engene mbovu sana mzee ni engene flan ndogo naweza kusema hazipushan sana na Az
Yes ni ndogo kwa capacity.. 4 cylinders..ila ipo njema kwenye power..

1ZZ hiyo ndio changamoto..
2ZZ ni bonge ya engine.. ipo vizuri..!

2AZ nayo nje ya kula oil ni engine reliable..
Alphard.. Harrier.. Kluger.. Rav4..
 
Ina cc ngap? Ina hp ngapi

Nikujuze tu hako ka golf hakawezi fika 300kph watu wako kazini wanacheza na akili zenu

Ni wazi ukikuta kinglion piki piki yenye cc 150 Ina kibao Cha speed 200 na sinoray cc 150 kibao Cha speed 140 unaweza amini kinglion inakimbia zaidi na upo tayari ku pay more ukiamin pikipiki yenye hp10 inaweza fika 200kph Hulu XL250 yenye hp 25 ilishindwa fika in real life


Achana na readings za speedo meter binafsi naangalia gari lilivo na hp zake eg gari Kama crown, golf, na zinginezo likiwa na hp300 Ni nyingi Sana kibongo unaweza gawa dozi utakavo


Kuhusu speedo kusoma namba nyingi Ni swala la marketing tu

Ngoja nikupe mfano


Unakuta Audi wametengeneza A4 yenye body type nyingi kwanzia sedan mpaka station wagon I think


Pia gari moja linakuja na engine option nyingi kwanzia ndogo kabisa yenye 1.9L diesel Hadi 3L plus where hp inaanzia 80hp Hadi 256hp bila kukosea Sasa huwa some company wanatengeneza speedo meter wenyewe wengine wanatoa oda kwa makampuni mengine, gari lenye 256hp linakuja labda na speedo inayosoma Hadi 260kph na speedmeter hio hio inatumika kwenye gari lingne model moja engine ndogo 80hp ,, hivo watu wanashindwa elewa huwezi tengenezea kila gari speedometer Yake hapo ndo unakuta hata mtu hio engine ndogo anajipa moyo kwamba anaweza fika hio speed unaangalia specs za engine yake unabaki unacheka

Yaani Mjerumani adanganye Umma kuhusu Speed ?
Unadhani wanaonunua haya magari ni Wajinga kama sisi?
Kama hujui hii gari
Ingia Youtube utapata Maarifa ya Kutosha.
 
Back
Top Bottom