UWEKEZAJI WA KUSHAMBA

UWEKEZAJI WA KUSHAMBA

Sendekera

Member
Joined
Feb 18, 2018
Posts
39
Reaction score
60
Mtu anawekeza pesa yake kwenye biashara anayoiona inafaa kumlipa faida.Sasa Chakushangaza anabeba jamaa zake kutoka kijijini eti waje kusimamia biashara zake wakati hata lugha ya biashara hawajui .Huu ni uwekezaji wa kishamba kabisa
 
Mtu anawekeza pesa yake kwenye biashara anayoiona inafaa kumlipa faida.Sasa Chakushangaza anabeba jamaa zake kutoka kijijini eti waje kusimamia biashara zake wakati hata lugha ya biashara hawajui .Huu ni uwekezaji wa kishamba kabisa
Biashara za namna hio hua hata hazichukui muda mrefu zinajifia zenyewe.
 
Back
Top Bottom