Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,230
Siku chache zilizopita wanachama wawili wa JF johnthebaptist na Ngongo walijiapiza kwamba ni lazima Hamisi Kigwangwala aapishwe kuwa Waziri wa Afya , hawakuishia hapo bali wakaendelea kutuaminisha kwamba habari yao hiyo ilitokana na vyanzo vya uhakika, nyuzi zikafunguliwa na wachangiaji wakachangia
Sasa leo yakaribia wiki tangu uteuzi huo ufanyike hapa JF, swali langu ni dogo tu, huyu mteule wao ataapishwa lini kuchukua mikoba ya Wizara ya Afya?
Sasa leo yakaribia wiki tangu uteuzi huo ufanyike hapa JF, swali langu ni dogo tu, huyu mteule wao ataapishwa lini kuchukua mikoba ya Wizara ya Afya?