Duh, Mkuu Dizzo, sante kwa bandiko hili, Ben Saanane ni mmoja wa makada wa Chadema aliyenielewa, hii barua yake ni I cut 'n' paste kwa kubadili tuu majina, kisha nitaiwasilisha mahali na majina mengine.
Twenzetuni
P
Duh, Mkuu Dizzo, sante kwa bandiko hili, Ben Saanane ni mmoja wa makada wa Chadema aliyenielewa, hii barua yake ni I cut 'n' paste kwa kubadili tuu majina, kisha nitaiwasilisha mahali na majina mengine.
Twenzetuni
P
Huna jipya, cahdema Rombo imefanya nini ten years? Wewe rudi ukaitumikie serikali iliyokusomesha kwanza achana na siasa tangu umezaliwa upo shuleni unakula fedha za walipa kodi hujui maisha ya uraiani.
Huna jipya, cahdema Rombo imefanya nini ten years? Wewe rudi ukaitumikie serikali iliyokusomesha kwanza achana na siasa tangu umezaliwa upo shuleni unakula fedha za walipa kodi hujui maisha ya uraiani.
Mawazo ya kijinga haya, Ccm imeongoza majimbo kibao tangu Uhuru imefanya nini? Bensa8 aliwakosea nini? Mungu atajibu tu huu unyama wenu mnaofanyia wananchi!
Mawazo ya kijinga haya, Ccm imeongoza majimbo kibao tangu Uhuru imefanya nini? Bensa8 aliwakosea nini? Mungu atajibu tu huu unyama wenu mnaofanyia wananchi!