Labda anajua alipo!Kinachonishangaza ni ukimya wa wa babake..
Alienda Hadi IKulu kuomba mwanae atafutwe
Halafu kiimya..
Na said kubenea nae kiimya
Labda anajua alipo!Kinachonishangaza ni ukimya wa wa babake..
Alienda Hadi IKulu kuomba mwanae atafutwe
Halafu kiimya..
Na said kubenea nae kiimya
Kama unamaanisha ulichoandika basi kila laheri.Duh, Mkuu Dizzo, sante kwa bandiko hili, Ben Saanane ni mmoja wa makada wa Chadema aliyenielewa, hii barua yake ni I cut 'n' paste kwa kubadili tuu majina, kisha nitaiwasilisha mahali na majina mengine.
Twenzetuni
P
Duh, Mkuu Dizzo, sante kwa bandiko hili, Ben Saanane ni mmoja wa makada wa Chadema aliyenielewa, hii barua yake ni I cut 'n' paste kwa kubadili tuu majina, kisha nitaiwasilisha mahali na majina mengine.
Twenzetuni
P
️Mawazo ya kijinga haya, Ccm imeongoza majimbo kibao tangu Uhuru imefanya nini? Bensa8 aliwakosea nini? Mungu atajibu tu huu unyama wenu mnaofanyia wananchi!Huna jipya, cahdema Rombo imefanya nini ten years? Wewe rudi ukaitumikie serikali iliyokusomesha kwanza achana na siasa tangu umezaliwa upo shuleni unakula fedha za walipa kodi hujui maisha ya uraiani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen maombi yako yalifikaMawazo ya kijinga haya, Ccm imeongoza majimbo kibao tangu Uhuru imefanya nini? Bensa8 aliwakosea nini? Mungu atajibu tu huu unyama wenu mnaofanyia wananchi!
Sent using Jamii Forums mobile app