Mzee tafuta ile KUBER au Tafuta Tambuu au Ugolo au Tumbaku Tafuta umeze utanishukuru BaadaeHii bhana huwa inasaidia sana baada ya kula au kushiba sanaa ukitumia sigara basi muda huo utaanza kuhitaji kutumia maliato kwa haraka sanaa. Nani mwingine amegundua hili
Dah!! Vijana wa siku hizi mnawaza tu kukata gogo baada ya kula/kushiba sana!!View attachment 2909760
Hii bhana huwa inasaidia sana baada ya kula au kushiba sanaa ukitumia sigara basi muda huo huo utaanza kuhitaji kutumia maliato kwa haraka sanaa. Nani mwingine amegundua hili