bface
Senior Member
- Dec 22, 2010
- 128
- 19
Nina uvimbe kichwani kwa mda sasa tangu 2002 ambao nimeambiwa tumor baada ya kupiga xray, ila niliambiwa kuwa unatakiwa kukatwa ingawa cio mkubwa xana coz unakiwa taratibu xana some of the doctors wamenishauri niuache tu coz hauna pain yeyote zaidi ya kichwa kuuma for sometime,,
Swali langu hapa je nikipata mtoto hawezi kuwa affected na hili or alihusiani?? Any doctor plizz
Swali langu hapa je nikipata mtoto hawezi kuwa affected na hili or alihusiani?? Any doctor plizz