Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,820
- 10,864
ccm Mbeya mjini isahauni, Mlishatuchosha na mbunge wenu mpesya. Mbeya ccm tunaichukia mno, Maendeleo vurugu. Huusika.
Umelogwa nini..? Mbona unatunga hadhithi zisizo na kichwa wala miguu.Wakati fulani tutumie na akili zetu.Katika jiji la Mbeya lenye mitaa 181 hakuna mtaa unaitwa MPUGUSO...hizo picha kapiga Ushirika kilomita 90 toka Mbeya mjini na mnasema hizo ni Mbeya Mjini?WANA CCM MKOJE?
Huyo mnayemwita Kajuna.alianzisha ligi KAJUNA CUP.kwenye viwanja vya S/M Mbata ameshindwa kuimaliza kwa kisingizio hana hela,alianzisha ya nini?NDUGU ZANGU MSISIKIE YA HAWA MAZEZETA..SUBIRINI TAR 25/10
kalia pinda sembuse sugu!!!!!!!!!!!!!!!Umesikia Sugu analia bungeni.