BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Nimeongea na mwenyekiti wa UVCCM wilaya moja ya mkoa Kilimanjaro. Nimeuuliza mbona sasa wanaigeula serikali na wao ni watoto akinijibu kuwa wanaweka shinikizo ili Ngeleja ajiuzulu. Na amenihakikishia kwamba wao hawakukurupuka kuongea ila kitu ni well planned.
tatizo si ngeleja tatizo ni mfumo mzima kwa hiyo ni vema wakafanya mapitio ya serikali nzima
tatizo si ngeleja tatizo ni mfumo mzima kwa hiyo ni vema wakafanya mapitio ya serikali nzima
Nimeongea na mwenyekiti wa UVCCM wilaya moja ya mkoa Kilimanjaro. Nimeuuliza mbona sasa wanaigeula serikali na wao ni watoto akinijibu kuwa wanaweka shinikizo ili Ngeleja ajiuzulu. Na amenihakikishia kwamba wao hawakukurupuka kuongea ila kitu ni well planned.
Hiyo ni safi sana, ila jana kwenye kikao chao sikusikia mahali popote wakitaja Ngeleja hajiuzulu, au huyo mwenyekiti amekupa mawazo yake
Mbona wanaongelea mlango wa nyuma, nani ataamini kuwa wanamtaka Ngeleja ajiuzulu?
Kwanini wasingeweka suala hilo hadharani wakati wakitoa tamko lao?
Nimeongea na mwenyekiti wa UVCCM wilaya moja ya mkoa Kilimanjaro. Nimeuuliza mbona sasa wanaigeula serikali na wao ni watoto akinijibu kuwa wanaweka shinikizo ili Ngeleja ajiuzulu. Na amenihakikishia kwamba wao hawakukurupuka kuongea ila kitu ni well planned.
tatizo si ngeleja tatizo ni mfumo mzima kwa hiyo ni vema wakafanya mapitio ya serikali nzima