DANNYBAVICHA
Senior Member
- Oct 22, 2013
- 109
- 33
Leo kwenye kipindi cha Agenda 2015 -Star TV msemaji wa UVCCM Paul makonda amewatukana matusi ya nguoni wabunge na viongozi wa CHADEMA na CUF,,BAVICHA tunatumia nafasi hii kumuonya vikali kijana huyu tunamtaka ajue kuwa hakuna mtanzania zaidi ya mwingine, mara nyingi amekuwa Akialikwa vyenye vipindi na Viongozi wa BAVICHA na kuishia mitini Leo amepata ujasiri akiwa mwenyewe studio akiishia kutukana matusi badala ya kujenga hoja. Natumia nafasi hii kuwambia jeshi la polisi kumuacha makonda aendelee kutukana viongozi wetu ni uchochezi mkubwa na wakiamuacha tutawasaidia kumshape kijana huyu aendane na maadili ya kitanzania...