UVCCM aahaa Nimesikia mkisema Rais ajaye.

UVCCM aahaa Nimesikia mkisema Rais ajaye.

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Leo 2019 tayari wapo vijana wameanza kuwaza nani rais ajaye 2025 na wanatamka adharani jina lake na mbaya zaidi wanamtetea kwa nguvu zote mitandaoni.......

Katibu Mkuu unajua wapo watu wameandaa na nafasi zao katika wilaya na mikoa nchini? Unajua wapo watu wameanza kuajiriwa kwa sababu tu wanatetea vyema ujio wa Rais mpya 2025? Unatambua kuwa vijana wameacha kusoma na kufanya kazi kwa bidii wakisubiri wateuliwe ubunge na nafasi mbalimbali za siasa?

Jamani wakuu mnatambua kwamba vuguvugu la watu kuongoza Tanzania limekuwa kubwa na kila mtu anawaza kuwa Rais? Nadhan wamejiaminisha kwamba urais Ni kazi rahisi Sana na sijajua wamejuaje au ni kipi kimewafanya waone siasa ni suluhisho la mtaji.

Praising team inapambana na wagombea Urais wa 2025 kuliko wanavyopambana na maisha yao binafsi.

Hata wewe unataka kuwa Rais wa nchi kweli?Pls acha, huna sifa ya kuongoza nchi mdogo/ mtoto wangu. Mkoa unakutosha
 
Tunamalizia wiki ya Mengi aliyekufa na mengi....
Ilikuwa ni nafasi adhimu ya kusimangana.... Lakini wakabanwa sana... Waliopata nafasi hawakufanya kosa.. WALIITUMIA
Tuko ukingoni sana... Bado ana hamu ya kuongea zaidi amesema ataongea baada ya siku 3,Leo ya pili
 
Leo 2019 tayari wapo vijana wameanza kuwaza nani rais ajaye 2025 na wanatamka adharani jina lake na mbaya zaidi wanamtetea kwa nguvu zote mitandaoni.......

Katibu Mkuu unajua wapo watu wameandaa na nafasi zao katika wilaya na mikoa nchini? Unajua wapo watu wameanza kuajiriwa kwa sababu tu wanatetea vyema ujio wa Rais mpya 2025? Unatambua kuwa vijana wameacha kusoma na kufanya kazi kwa bidii wakisubiri wateuliwe ubunge na nafasi mbalimbali za siasa?

Jamani wakuu mnatambua kwamba vuguvugu la watu kuongoza Tanzania limekuwa kubwa na kila mtu anawaza kuwa Rais? Nadhan wamejiaminisha kwamba urais Ni kazi rahisi Sana na sijajua wamejuaje au ni kipi kimewafanya waone siasa ni suluhisho la mtaji.

Praising team inapambana na wagombea Urais wa 2025 kuliko wanavyopambana na maisha yao binafsi.

Hata wewe unataka kuwa Rais wa nchi kweli?Pls acha, huna sifa ya kuongoza nchi mdogo/ mtoto wangu. Mkoa unakutosha

Ungenukuu kifungu cha katiba ya CCM au nchi kilichokiukwa
 
Tunamalizia wiki ya Mengi aliyekufa na mengi....
Ilikuwa ni nafasi adhimu ya kusimangana.... Lakini wakabanwa sana... Waliopata nafasi hawakufanya kosa.. WALIITUMIA
Tuko ukingoni sana... Bado ana hamu ya kuongea zaidi amesema ataongea baada ya siku 3,Leo ya pili
BAHITE ni tatizo nchini! Ila ipo siku......
 
BAHITE ni tatizo nchini! Ila ipo siku......
Tunamalizia wiki ya Mengi aliyekufa na mengi....
Ilikuwa ni nafasi adhimu ya kusimangana.... Lakini wakabanwa sana... Waliopata nafasi hawakufanya kosa.. WALIITUMIA
Tuko ukingoni sana... Bado ana hamu ya kuongea zaidi amesema ataongea baada ya siku 3,Leo ya pili
BASHITE ni tatizo nchini! Ila ipo siku.
 
Tunamalizia wiki ya Mengi aliyekufa na mengi....
Ilikuwa ni nafasi adhimu ya kusimangana.... Lakini wakabanwa sana... Waliopata nafasi hawakufanya kosa.. WALIITUMIA
Tuko ukingoni sana... Bado ana hamu ya kuongea zaidi amesema ataongea baada ya siku 3,Leo ya pili

Aisee
 
Leo 2019 tayari wapo vijana wameanza kuwaza nani rais ajaye 2025 na wanatamka adharani jina lake na mbaya zaidi wanamtetea kwa nguvu zote mitandaoni.......

Katibu Mkuu unajua wapo watu wameandaa na nafasi zao katika wilaya na mikoa nchini? Unajua wapo watu wameanza kuajiriwa kwa sababu tu wanatetea vyema ujio wa Rais mpya 2025? Unatambua kuwa vijana wameacha kusoma na kufanya kazi kwa bidii wakisubiri wateuliwe ubunge na nafasi mbalimbali za siasa?

Jamani wakuu mnatambua kwamba vuguvugu la watu kuongoza Tanzania limekuwa kubwa na kila mtu anawaza kuwa Rais? Nadhan wamejiaminisha kwamba urais Ni kazi rahisi Sana na sijajua wamejuaje au ni kipi kimewafanya waone siasa ni suluhisho la mtaji.

Praising team inapambana na wagombea Urais wa 2025 kuliko wanavyopambana na maisha yao binafsi.

Hata wewe unataka kuwa Rais wa nchi kweli?Pls acha, huna sifa ya kuongoza nchi mdogo/ mtoto wangu. Mkoa unakutosha
Waambie wahamie Zanzibar.
 
Kila linalotokea ndani ya CCM haliji bahati mbaya bali linabaraka za CCM..
 
Leo 2019 tayari wapo vijana wameanza kuwaza nani rais ajaye 2025 na wanatamka adharani jina lake na mbaya zaidi wanamtetea kwa nguvu zote mitandaoni.......

Katibu Mkuu unajua wapo watu wameandaa na nafasi zao katika wilaya na mikoa nchini? Unajua wapo watu wameanza kuajiriwa kwa sababu tu wanatetea vyema ujio wa Rais mpya 2025? Unatambua kuwa vijana wameacha kusoma na kufanya kazi kwa bidii wakisubiri wateuliwe ubunge na nafasi mbalimbali za siasa?

Jamani wakuu mnatambua kwamba vuguvugu la watu kuongoza Tanzania limekuwa kubwa na kila mtu anawaza kuwa Rais? Nadhan wamejiaminisha kwamba urais Ni kazi rahisi Sana na sijajua wamejuaje au ni kipi kimewafanya waone siasa ni suluhisho la mtaji.

Praising team inapambana na wagombea Urais wa 2025 kuliko wanavyopambana na maisha yao binafsi.

Hata wewe unataka kuwa Rais wa nchi kweli?Pls acha, huna sifa ya kuongoza nchi mdogo/ mtoto wangu. Mkoa unakutosha
Uvccm ni kikundi cha wahuni kilichlelewa katika maadili ya kijinga kikitegemea buku7 wakiongozwa na yule mhuni anayejiita heri sijui nan.
 
Tunamalizia wiki ya Mengi aliyekufa na mengi....
Ilikuwa ni nafasi adhimu ya kusimangana.... Lakini wakabanwa sana... Waliopata nafasi hawakufanya kosa.. WALIITUMIA
Tuko ukingoni sana... Bado ana hamu ya kuongea zaidi amesema ataongea baada ya siku 3,Leo ya pili
Mshana kama na kuona live vile akitoa unitag mkuu
 
Tunamalizia wiki ya Mengi aliyekufa na mengi....
Ilikuwa ni nafasi adhimu ya kusimangana.... Lakini wakabanwa sana... Waliopata nafasi hawakufanya kosa.. WALIITUMIA
Tuko ukingoni sana... Bado ana hamu ya kuongea zaidi amesema ataongea baada ya siku 3,Leo ya pili


Siku ya tatu aje wapi yule ana aibu sidhani kama aliweza kula... mliokwa msibani alienda makaburini kweli huyu mtu au alivyotoka pale kanisani ilikuwa moja kwa moja KIA?
 
Tunamalizia wiki ya Mengi aliyekufa na mengi....
Ilikuwa ni nafasi adhimu ya kusimangana.... Lakini wakabanwa sana... Waliopata nafasi hawakufanya kosa.. WALIITUMIA
Tuko ukingoni sana... Bado ana hamu ya kuongea zaidi amesema ataongea baada ya siku 3,Leo ya pili


Halafu Mshana nadhani ile kazi ya kufunga viatu wakubwa ndio ilikuwa imfae zaidi hii nyingine analazimishia kabisa MAKONDA alitakiwa awe mnyenyekevu haswa ili aweze kuprove watu wrong. Kinyume chake anajijitutumua kama CHATU anavyotaka kumwaga sumu
 
Leo 2019 tayari wapo vijana wameanza kuwaza nani rais ajaye 2025 na wanatamka adharani jina lake na mbaya zaidi wanamtetea kwa nguvu zote mitandaoni.......

Katibu Mkuu unajua wapo watu wameandaa na nafasi zao katika wilaya na mikoa nchini? Unajua wapo watu wameanza kuajiriwa kwa sababu tu wanatetea vyema ujio wa Rais mpya 2025? Unatambua kuwa vijana wameacha kusoma na kufanya kazi kwa bidii wakisubiri wateuliwe ubunge na nafasi mbalimbali za siasa?

Jamani wakuu mnatambua kwamba vuguvugu la watu kuongoza Tanzania limekuwa kubwa na kila mtu anawaza kuwa Rais? Nadhan wamejiaminisha kwamba urais Ni kazi rahisi Sana na sijajua wamejuaje au ni kipi kimewafanya waone siasa ni suluhisho la mtaji.

Praising team inapambana na wagombea Urais wa 2025 kuliko wanavyopambana na maisha yao binafsi.

Hata wewe unataka kuwa Rais wa nchi kweli?Pls acha, huna sifa ya kuongoza nchi mdogo/ mtoto wangu. Mkoa unakutosha
Daudi Albert Bashite...
 
Leo 2019 tayari wapo vijana wameanza kuwaza nani rais ajaye 2025 na wanatamka adharani jina lake na mbaya zaidi wanamtetea kwa nguvu zote mitandaoni.......

Katibu Mkuu unajua wapo watu wameandaa na nafasi zao katika wilaya na mikoa nchini? Unajua wapo watu wameanza kuajiriwa kwa sababu tu wanatetea vyema ujio wa Rais mpya 2025? Unatambua kuwa vijana wameacha kusoma na kufanya kazi kwa bidii wakisubiri wateuliwe ubunge na nafasi mbalimbali za siasa?

Jamani wakuu mnatambua kwamba vuguvugu la watu kuongoza Tanzania limekuwa kubwa na kila mtu anawaza kuwa Rais? Nadhan wamejiaminisha kwamba urais Ni kazi rahisi Sana na sijajua wamejuaje au ni kipi kimewafanya waone siasa ni suluhisho la mtaji.

Praising team inapambana na wagombea Urais wa 2025 kuliko wanavyopambana na maisha yao binafsi.

Hata wewe unataka kuwa Rais wa nchi kweli?Pls acha, huna sifa ya kuongoza nchi mdogo/ mtoto wangu. Mkoa unakutosha
Tabia za kifutu ni kujitutumua alafu anapondwa kichwa anakufa!
 
Back
Top Bottom